Yes 2010
Fainali uefa baina ya asernal na Barcelona kumbukumbu golikipa asernal alipata kadi nyekundu mapema sana alimgusa unyayo samueli eto akienda kufunga goli
Najamaa yangu tunasiku mbili panaitwa bagamoyo unaelekea stend kuu yatukuyu panadispensari na bar moja hivi nalakitano kwenye waleti ,simu Samsung
Kumbe kunajamaa ananiwinda mana natumia pombe balaa
Ukafika muda wamechi bwana ukumbini nilazima upite kaunta ,upande wakulia kunachoo unavoelekea ukumbini
Niliingia choo gent kama kawa kumbe kibaka alikuja nyumayangu akaingia cha ke ili ufike choo cha wanaume nilazima uvuke mlango wa ke
Natoka hivi nataka kukunja niingie baa niliguswa begani kugeuka nikasukumwa kidogo ukutani nikanata pale
Jamaa akatoa kisu vile vyakufyatua akaniambia unaona watu wanapita kuingia kuangalia mechi nikasema ndio
Ukipiga kelele wananiua naomba zilehela zote na simu kila kitu tumeona kwanza mgeni hapa tokajana unakunywa tu bia hapa ukikaa hata kuinuka huinuki
Nikasema nimekwisha ghafla akili ikija yule jamaa niponae alikua ametoka bwana mungu mwema akili ikaja nilegeze mwili na kauli hapo kichwani nipo nahisi damu inamwagika nimeloa mwiliwote
Watu wanapita nawanamwita jamaa jinalake(),anaitikia poa napiga stories na big yetu hapa
Basi ,nikamuangalia alivo nikipande cha MTU mweusi harufu pia yabangi kwambali nasikia toka kwake
Kimo chake urefu kidogo tunalingana
Nawaza nipige wapi huyu usoni jibu ikawahapa
Ghafla wazo likaja nitagonga kichwa changuvu eneo lapua nilazima ainame kidogo niifaidi pua yake
Nikamwambia naomba laini nitoe nikuachie simu napesa zote nakupa
Jibu likawa
Sawa brother nyie ndo mabrother tunawataka hamna bugdha
Nikatoa laini ingia mfuko wanyuma to a waleti
Wakati natoa waleti aliinama ili aifadhi kisu anavoinuka niligonga kichwa puani alilia kwasauti kubwa mamaaaaa nakufa akadondoka chini paaa
RAIA kwenye ukumbi na bar wakatoka wanauliza imekuaje nikawambia wakati mnapita hapa nilikua nimepigwa tero amesema nimpe simu napesa pia Mimi mgeni nakaaje sikumbili nakunywa tu pombe
ndo nikasikia najina lake anaitwa God ,dereva vigali beba mizigo soko LA tukuyu stend pale
Kutoka ilesiku sijawahi kusekana nyumbani sambili kamili usiku labda niwe safarini
Usiombee ukutwe au ubananishwe na kibaka sikiaga tu
Sent from my TECNO F2 using
JamiiForums mobile app