Umewahi kupima "UKIMWI". Nani alikushawishi?

Umewahi kupima "UKIMWI". Nani alikushawishi?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Mimi mara ya kwanza aseee nilikatiza jirani na Marie Stopes nikiwa na mishe Zangu tu

Huku na kule ghafla mhudumu wa hapo kaniita ilikuwa nafikiri kipindi chao maana nilikuta maturubai nje? Na viti vingi vingi hivi

Kaanza kunishawishi hapo weee na story nyingi! Dah! Nikaona isiwe ishu nikapewa kikaratasi nikaandikwa jina nikazama ndani

Hapo roho haipo inadunda kama nini! Lakini mwisho wa siku nashukuru MUNGU nikakutwa fresh?

Je, wewe mwenzangu ilikuwaje? Hali yako siku hiyo sasa
 
Nilishaandika hiki kisa humuu si chini ya mara mbili, kuna watu wakiona watakumbuka uzi.

Mshkaji aliniamsha asubuhi subuhi (sijui usiku aliwaza nini) nimsindikize akapime pale temeke...
Nikamuuliza mzee kulikoni, akasema we twende mi najiamini sio kama wewe....

kufupisha
Sisi ndio wa kwanza pale, tulifika hata bado hawajafungua, mda wakufungua tukawa tumefika watu Saba , Kimbembe kilianza Pale nesi aliposema haya Aingie wa kwanza.....
Jamaa anasukuma wenzake kwenye bench, Anajitia kuchati, Akaambiwa na mzee mmoja
"kijana wewe si ndio wa kwanza nenda"
jamaa akasema
"Aaaah hamna shida mzee wangu yeyote naweza mpisha aende"

Hapa ndio watu wakaanza kusukumana kwenye benchi mpk wa mwisho akaanguka, akaamua kusepa..

Yule mzee nae amekua mkali..
" hapa tumepanga foleni, lazima tufuate utaratibu, wa kwanza ndio aende"

Kuna mmoja akajitosa akaenda,
Ile anamaliza nesi anafungua mlango..

jamaa yangu chiniii, akazima, tukampepea, Anaamka tukatulia kidogo baadae kusikia tena njoo, Akala mzinga tena...

Nesi akawa kama ame mind mbona watu hawaendi..

Hapa ndio mimi nikalazimia kwenda KUPIMA bila kutaka, ile natoka tuu ananiona..
akala mzinga wa tatu na wa mwisho...

Tulimbeba kwenye bajaji alienda zindukia hostel..
Cha kwanza kuuliza "mlinipima"?
Nikamwambia hapana, akasema mmekosea mngenipima.
 
Nilishaandika hiki kisa humuu si chini ya mara mbili.

Mshkaji aliniamsha asubuhi subuhi (sijui usiku aliwaza nini) nimsindikize akapime pale temeke...
Nikamuuliza mzee kulikoni, akasema we twende mi najiamini sio kama wewe....

kufupisha
Sisi ndio wa kwanza pale, tulifika hata bado hawajafungua, mda wakufungua tukawa tumefika watu Saba , Kimbembe kilianza Pale nesi aliposema haya Aingie wa kwanza.....
Jamaa anasukuma wenzake kwenye bench, Anajitia kuchati, Akaambiwa na mzee mmoja
"kijana wewe si ndio wa kwanza nenda"
jamaa akasema
"Aaaah hamna shida mzee wangu yeyote naweza mpisha aende"

Hapa ndio watu wakaanza kusukumana kwenye benchi mpk wa mwisho akaanguka, akaamua kusepa..

Yule mzee nae amekua mkali..
" hapa tumepanga foleni, lazima tufuate utaratibu, wa kwanza ndio aende"

Kuna mmoja akajitosa akaenda,
Ile anamaliza nesi anafungua mlango..

jamaa yangu chiniii, akazima, tukampepea, Anaamka kusikia tena njoo, Akala mzinga tena...

Nesi akawa kama ame mind mbona watu hawaendi..

Hapa ndio mimi nikalazimia kwenda KUPIMA bila kutaka, ile natoka tuu ananiona..
akala mzinga wa tatu na wa mwisho...

Tulimbeba kwenye bajaji alienda zindukia hostel..
Asee hiyo yote ilikuwa ni hofu tu japo inachekesha lakini poleni sana
 
Nilishapima mara nyingi sana. Tena mara nyingine nilipimwa kiboya sana na mchumba wangu ambaye sasa hivi ni mke wangu.
 
mkuu nilipata shida sana hasa pale mama kija alipotaka kuanza kliniki,nilitafuta vipimo vyangu 2 zahanati flani nikaenda kujipima kujinterview mwenyewe nilipoona poa nikamcheki yeye baadae tukaenda kituo cha afya
........mnaopendapenda kwenda kupima mara kwamara najua mnatafuta jibu la kuwa Possitive
 
Kwa kumbukumbu ya hesabu yangu ni mara8, kupima hadi niamue mwenyewe. Ni mara 1 tu nilipimwa kwa lazima kwa maelekezo ya daktari nilipoenda kwa uchunguzi wa ugonjwa mwingine
 
Teh! We jamaa story ya ukweli hii?? Jamaa vipi mpaka Leo hajapimaga??
Nilishaandika hiki kisa humuu si chini ya mara mbili, kuna watu wakiona watakumbuka uzi.

Mshkaji aliniamsha asubuhi subuhi (sijui usiku aliwaza nini) nimsindikize akapime pale temeke...
Nikamuuliza mzee kulikoni, akasema we twende mi najiamini sio kama wewe....

kufupisha
Sisi ndio wa kwanza pale, tulifika hata bado hawajafungua, mda wakufungua tukawa tumefika watu Saba , Kimbembe kilianza Pale nesi aliposema haya Aingie wa kwanza.....
Jamaa anasukuma wenzake kwenye bench, Anajitia kuchati, Akaambiwa na mzee mmoja
"kijana wewe si ndio wa kwanza nenda"
jamaa akasema
"Aaaah hamna shida mzee wangu yeyote naweza mpisha aende"

Hapa ndio watu wakaanza kusukumana kwenye benchi mpk wa mwisho akaanguka, akaamua kusepa..

Yule mzee nae amekua mkali..
" hapa tumepanga foleni, lazima tufuate utaratibu, wa kwanza ndio aende"

Kuna mmoja akajitosa akaenda,
Ile anamaliza nesi anafungua mlango..

jamaa yangu chiniii, akazima, tukampepea, Anaamka kusikia tena njoo, Akala mzinga tena...

Nesi akawa kama ame mind mbona watu hawaendi..

Hapa ndio mimi nikalazimia kwenda KUPIMA bila kutaka, ile natoka tuu ananiona..
akala mzinga wa tatu na wa mwisho...

Tulimbeba kwenye bajaji alienda zindukia hostel..
Cha kwanza kuuliza "mlinipima"?
 
Jina langu lilipita kati ya vijana waliotakiwa kwenda kwenye mafunzo ya Polisi kule Moshi. Nikajua tu kuwa hawa jamaa huko mbeleni watatupima tu ngoma, sasa kabla sijaumbuliwa ngoja nikajicheki. Mzee nikaenda pale Angaza ya Red Cross barabara ya A.H. Mwinyi, ilikuwa hofu tupu kuwakuta watu kwenye mabenchi, wengine wakisubiri zamu ya kwenda kupima, nawengine wakisubiri majibu, huku tukiwa tumewekewa video za Phil Rutaaya, yule mwanaharakati wa Uganda. Kwa kweli hofu ilikuwa kubwa, ila nashukuru presha ilishuka baada ya kupewa majibu. Nikaja kupata na kazi nyingine kabla sijaripoti mafunzo ya upolisi Moshi
 
Nilipima ili nianze malengo yangu upya, maana kuna bandidu aliingilia maisha yangu nikajikuta nimeyaacha malengo yangu na kufanya yake. Matokeo yake tukapingua urafiki, nikasema nikikuta -ve naendeleza malengo, nikikuta +ve nabadili mrengo.
 
Teh! We jamaa story ya ukweli hii?? Jamaa vipi mpaka Leo hajapimaga??
Mzee ni serious,

Hakupimaa..
Alivyoshtuka akatuuliza mmenipima tukamwambia hapana..
Alisema tulikosea, tungempima..

Ila kupima ngwengwe ni moja ya maamuzi magumu sana mtu anafanya hasa kama unaenda kupima ukiwa tayari una hofu kutokana na historia..

Mimi niliingia pale ndani sina historia yoyote ya kunipa mashaka, lakini alipoanza ule ushauri na zile njia nyingne za maambukizi, nilijaa jasho....
Nikajiuliza vipi kwa anayeenda akiwa na hofu?
 
Nilishaandika hiki kisa humuu si chini ya mara mbili, kuna watu wakiona watakumbuka uzi.

Mshkaji aliniamsha asubuhi subuhi (sijui usiku aliwaza nini) nimsindikize akapime pale temeke...
Nikamuuliza mzee kulikoni, akasema we twende mi najiamini sio kama wewe....

kufupisha
Sisi ndio wa kwanza pale, tulifika hata bado hawajafungua, mda wakufungua tukawa tumefika watu Saba , Kimbembe kilianza Pale nesi aliposema haya Aingie wa kwanza.....
Jamaa anasukuma wenzake kwenye bench, Anajitia kuchati, Akaambiwa na mzee mmoja
"kijana wewe si ndio wa kwanza nenda"
jamaa akasema
"Aaaah hamna shida mzee wangu yeyote naweza mpisha aende"

Hapa ndio watu wakaanza kusukumana kwenye benchi mpk wa mwisho akaanguka, akaamua kusepa..

Yule mzee nae amekua mkali..
" hapa tumepanga foleni, lazima tufuate utaratibu, wa kwanza ndio aende"

Kuna mmoja akajitosa akaenda,
Ile anamaliza nesi anafungua mlango..

jamaa yangu chiniii, akazima, tukampepea, Anaamka kusikia tena njoo, Akala mzinga tena...

Nesi akawa kama ame mind mbona watu hawaendi..

Hapa ndio mimi nikalazimia kwenda KUPIMA bila kutaka, ile natoka tuu ananiona..
akala mzinga wa tatu na wa mwisho...

Tulimbeba kwenye bajaji alienda zindukia hostel..
Cha kwanza kuuliza "mlinipima"?
😂😂😂
Mkuu UMETISHA
 
Back
Top Bottom