Umewahi kupima "UKIMWI". Nani alikushawishi?

Umewahi kupima "UKIMWI". Nani alikushawishi?

Aise sijui niseme napimwa au nalizimishwa kupimwa tangu nioe kioa mimba lazima wife anigande twende clinic kupima bahati mbaya mimi ma dry nje ya ndoa ni mwiko so huwa na relax nakitu kinaitika NEGATIVEEEEEEEEEE.... usipige dry mzee ngoma ipo na inaua.
 
Mimi mara ya kwanza aseee nilikatiza jirani na Marie Stopes nikiwa na mishe Zangu tu,

Huku na kule ghafla mhudumu wa hapo kaniita ilikuwa nafikiri kipindi chao maana nilikuta maturubai nje? Na viti vingi vingi hivi,

Kaanza kunishawishi hapo weee na story nyingi! Dah! Nikaona isiwe ishu nikapewa kikaratasi nikaandikwa jina nikazama ndani,

Hapo roho haipo inadunda kama nini! Lakini mwisho wa siku nashukuru MUNGU nikakutwa fresh? JE wewe mwenzangu ilikuwaje? Hali yako siku hiyo sasa
Hyo story umetunga sasa swali wewe umepima? Au umewah pima?
 
IIkiwa mnapima mara kwa mara maana yake ni nini?

a) Kujua Afya yako
b) Kujua kama umeambukizwa
c) Kujipa matumaini kuwa upo ✔
d) ...

Ila mwisho wa siku nini sababu ya kupima mara kwa mara?
 
kupima ni tabia yangu...labda kwasababu huwa sina rafu sana kwenye mapenzi...lazima nimuandae aloane kabisa ndio nimuingie...napiga taratibu siingii sehemu yenye kichaka kuepuka michubuko isiyo ya lazima
 
Kunakipindi niliugua sana nikakonda kinoma, ikabidi niende mloganzila nijue tatizo nini, nimefika chumba cha daktari nikaanza kumuelezea tatizo langu kipindi icho nilikua nasweet sana usiku nilivomueleza nahisi alihisi ni TB, aliniangalia sana kisha akachana kipaper akaandia lugha zao za kidoctor akaniambia mpelekee nesi hiki, nikivyofika kwa nurse baada yakuumpa kile kipaper akaniangalia sana kwa makini then akaniuliza doctor kakuambia unakuja kufanya nn? Nikamwambia kaniambia nikuletee kipaper basi. Basi bwana nurse akaniambia nitangulie kwenye chumba anakuja wakati huo wasi wasi ushaniingia nikijiuliza y nurse aliniangalia vile baada yakusoma kile kikaratasi, dakika kadhaa nurse uyo apo, akanionesha sehem yakukaa then akaanza maswali oooh mara ya mwisho umepima ln HIV dah yan moyo ulipiga paaa nikapumua kwa nguvu then nikamjibu sijawahi kupima, akashangaa kweli nikamwambia mm najiamin akaanza kuleta ngonjera zake za namna unavoweza kupata maambukizi ya HIV tofauti na kusex yan wakati uo mawazo yako mbali ata simsikilizi, mimi nilikua nahesabu tuu rafu nilizo wahi kucheza kwenye mahusiano nilopitia, akatoa ki HIV test ndo mara ya kwanza nakiona akasema nataka nikupime HIV kiukweli nilimgomea nikamwambia sijajiandaa kisaikolojia kupima HIV kwa wakati ule, alikua disappointed sana isitoshe alikua dem mkali kinyama nikauonea huruma nikakubali huku kichwani nikiwa nimepanga endapo nikikutwa na ngoma najiua. Nikampa kidole katoa dam katia kwenye kile kidude moyo ukidunda kinoma baada ya dakika kadhaa msitali mmoja ukajichora akaniambia hongera upo negative dah nilifurah kiukweli, akaanza ooo apo bado inabidi urudi baada ya miezi mitatu upime tena nikamuangaliaaaaa ata sikumjibu. All in all walinipima vipimo vingine nikakutwa na typhoid. Mtanisamehe kwa uandishi m’bovu
 
Nilishaandika hiki kisa humuu si chini ya mara mbili, kuna watu wakiona watakumbuka uzi.

Mshkaji aliniamsha asubuhi subuhi (sijui usiku aliwaza nini) nimsindikize akapime pale temeke...
Nikamuuliza mzee kulikoni, akasema we twende mi najiamini sio kama wewe....

kufupisha
Sisi ndio wa kwanza pale, tulifika hata bado hawajafungua, mda wakufungua tukawa tumefika watu Saba , Kimbembe kilianza Pale nesi aliposema haya Aingie wa kwanza.....
Jamaa anasukuma wenzake kwenye bench, Anajitia kuchati, Akaambiwa na mzee mmoja
"kijana wewe si ndio wa kwanza nenda"
jamaa akasema
"Aaaah hamna shida mzee wangu yeyote naweza mpisha aende"

Hapa ndio watu wakaanza kusukumana kwenye benchi mpk wa mwisho akaanguka, akaamua kusepa..

Yule mzee nae amekua mkali..
" hapa tumepanga foleni, lazima tufuate utaratibu, wa kwanza ndio aende"

Kuna mmoja akajitosa akaenda,
Ile anamaliza nesi anafungua mlango..

jamaa yangu chiniii, akazima, tukampepea, Anaamka tukatulia kidogo baadae kusikia tena njoo, Akala mzinga tena...

Nesi akawa kama ame mind mbona watu hawaendi..

Hapa ndio mimi nikalazimia kwenda KUPIMA bila kutaka, ile natoka tuu ananiona..
akala mzinga wa tatu na wa mwisho...

Tulimbeba kwenye bajaji alienda zindukia hostel..
Cha kwanza kuuliza "mlinipima"?
Nikamwambia hapana, akasema mmekosea mngenipima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117]"kijana wewe si ndio wa kwanza nenda"
jamaa akasema
"Aaaah hamna shida mzee wangu yeyote naweza mpisha aende"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa tar 19-3-2019 kuna dada alikuwa analeta mazoea na mimi, ikabidi nimtafune. Kutokana na uzuri wake ikabidi nipige dry ili kupata ladha halisi. Nakumbuka nilipiga vipindi viwili huku niki-score both halves goal moja moja kisha tukalala na asubuhi nikapiga cha mwisho.
KIMBEMBE CHAANZA
Asubuhi nikawa nahisi maumivu kwenye mguu wa mtoto, ikabidi nijikague vizuri. Baada ya kujikagua nikaona kuna unyevu kwenye mguu, nilipochunguza vizuri nikagundua pana mchubuko, dah! Asubuhi ile mawazo yalikuwa hayaishi. Mchana nikaenda Hospitali fulani ya serikali kupima ngoma ili kama ni mzima nichukue PEP.
Nilifika hospitali nikapokelewa vizuri na mhudumu wa afya, kwanza akanipa ushauri nasaha kwamba ukimwi kwa sasa si ugonjwa wa kutisha kama magonjwa mengine kama ini, figo nk., kisha akanitoa damu.
PRESHA YA KUSUBIRIA MAJIBU
Kama umeshawahi kubeti, ni pale timu A na B zinacheza, kisha hadi dk ya 87 ni 0:0, unaamua kujilipua kwa UNDER 0.5 (lisitokee goal) mara unasikia penaaalt. Unamwangalia refa kwa huruma...Naendelea..
 
Hakuna siku akili ilichakata na kutoa majibu kwa haraka kama wakati ule nasubiria majibu. Hivi viganja vya mikono vilikuwa vinatoa jasho bwana!
Baada ya kusubiria majibu nikaambiwa hongera! Kwa sasa ni mzima. Presha ikashuka, kisha nikamsimulia kilichonileta hasa ni kwa vile nimechera rafu halafu peku kwenye 18 na mtu ambaye nimesimuliwa kuwa ana ngoma, akaniuliza toka umecheza masaa 72 yamepita? Nikamjibu ni jana tu.
Akanielekeza taratibu za kufuata ili nipatiwe msaada. Nilipofika sehemu ya kupewa dawa, mhusika hakuwepo, nikaambiwa nije J3 na ukizingatia ile siku ilikuwa ijumaa. So nikisubiria hadi J3 manake masaa 72 yatakuwa yamepita na nitapata ngoma, nilihisi magoti laini kama mlenda aisee!
Yule mhudumu baada ya kuhangaika akapata vidonge vitatu na akanishauri ninywe ijumaa ile, jumamosi na jumapili kisha j3 nirudi kuchukua kikopo kizima cha vidonge 30.
To cut the story, nilimaliza vidonge 33 ila nasikia kuna watu hawamalizi vidonge 30 coz vinalewesha kwa siku za mwanzo, yule mwanamke alikuwa +ve
 
Aisee ni hatari!
Hakuna siku akili ilichakata na kutoa majibu kwa haraka kama wakati ule nasubiria majibu. Hivi viganja vya mikono vilikuwa vinatoa jasho bwana!
Baada ya kusubiria majibu nikaambiwa hongera! Kwa sasa ni mzima. Presha ikashuka, kisha nikamsimulia kilichonileta hasa ni kwa vile nimechera rafu halafu peku kwenye 18 na mtu ambaye nimesimuliwa kuwa ana ngoma, akaniuliza toka umecheza masaa 72 yamepita? Nikamjibu ni jana tu.
Akanielekeza taratibu za kufuata ili nipatiwe msaada. Nilipofika sehemu ya kupewa dawa, mhusika hakuwepo, nikaambiwa nije J3 na ukizingatia ile siku ilikuwa ijumaa. So nikisubiria hadi J3 manake masaa 72 yatakuwa yamepita na nitapata ngoma, nilihisi magoti laini kama mlenda aisee!
Yule mhudumu baada ya kuhangaika akapata vidonge vitatu na akanishauri ninywe ijumaa ile, jumamosi na jumapili kisha j3 nirudi kuchukua kikopo kizima cha vidonge 30.
To cut the story, nilimaliza vidonge 33 ila nasikia kuna watu hawamalizi vidonge 30 coz vinalewesha kwa siku za mwanzo, yule mwanamke alikuwa +ve
 
Back
Top Bottom