Umewahi kushirikishwa kuchagua miradi ya maendeleo katika eneo lako?

Umewahi kushirikishwa kuchagua miradi ya maendeleo katika eneo lako?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
rv3.png

Kanuni ya 168 (1)(a) ya Kanuni za Manunuzi wa Umma za Mwaka 2013 inataka ushiriki wa jamii katika kubuni miradi kwa nia ya uendelevu au kufikia malengo husika ya kijamii ya miradi.

Ripoti ya CAG imeeleza, hakukuwa na ushahidi wowote unaoonesha ushiriki wa jamii husika katika uchaguaji wa mitadi katika Halmashauri mbalimbali

1618229097914.png
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom