Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

Nitaendelea kesho, lazima nimalize kitabu hiki na niki-apply kwenye maisha yangu.
 
Duuuh.......kitabu kina MADINI ya kutosha.....
 
Lkn sijachelewa Sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boss ubarikiwe sana,hivi kufuata hizi kanuni sisi ambao tunakaribia kufika 40 tutaweza kutomboa kweli ? Make naona hii ni kwavijana wenye miaka kuanzia 25 wakiweka kidogo kidogo watatoboa.
 
Nitumie PM hicho kitabu ulichopakua.
 
Miaka 40 bado sana
Boss ubarikiwe sana,hivi kufuata hizi kanuni sisi ambao tunakaribia kufika 40 tutaweza kutomboa kweli ? Make naona hii ni kwavijana wenye miaka kuanzia 25 wakiweka kidogo kidogo watatoboa.
 
Natoa shukrani zangu Kwa mleta post,napenda kukwambia kazi yako na Muda wako haujaenda bure,umetuongezea maarifa ndugu zako ambayo yatatufanya tuwe wapya Kwa mitazamo chanya kabisa,barikiwa Sana mkuu
 
Boss ubarikiwe sana,hivi kufuata hizi kanuni sisi ambao tunakaribia kufika 40 tutaweza kutomboa kweli ? Make naona hii ni kwavijana wenye miaka kuanzia 25 wakiweka kidogo kidogo watatoboa.
Unatoboa bado mapema sana ndugu
 
Sijasoma vitabu vingi ila THINK AND GROW RICH ni miongoni mwa vitabu bora ningemshauri kila aliyekata tamaa ya maisha na huna mwangaza basi ukisoma hicho kitabu you will be fine na kama unapitia magumu kwenye mahusiano basi MEN ARE FROM MARS AND WOMEN ARE FROM VENUS japo ni nje ya mada ila hivyo ni miongoni mwa vitabu bora I recommend everyone to read one of them or all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…