Umewahi kutahadharishwa na mkeo au mumeo kuhusu kuwa makini na ndugu yake na bado haikusaidia?

Umewahi kutahadharishwa na mkeo au mumeo kuhusu kuwa makini na ndugu yake na bado haikusaidia?

Alan bana!! mambo gani hayo.....unaogopa kukabiliana na hali halisi...ok kaka yako anajimwaya mwaya kwa mkeo.....na ukijua ushasema utakufa...ukufe kakako ahamie kabisa.....kuwa wa KIUME alan....mpaka majirani wanakushangaa...ila wanahisi umemruhusu kaka yako bcoz wewe JOGOO hapandi mtungi......
Watu kama hawa hatimaye utasikia wamechukua maamuzi magumu yasiyotarajiwa.
 
Pole sana...

Mtu mzima hatishiwi nyau.. Vile unayomkanya kila mara, unampa shauku kubwa ya kutaka kufahamu na kujaribu haswa unachoogopa nini...



Cc: mahondaw
Kuna Watu wakimuweka Mwanamke kwenye 18 hachomoki....possibly na Kaka yake Alan ni wa aina hiyo.
 
Alan aache ubwege, asimame kama dume apambane, ikibidi amzuie Kaka yake asifike kwake.
 
ni bora uchapiwe na mdogo wako wa damu kuliko mtu baki.

Zimwi likujualo halikuli likakwisha!!
 
Alafu kuna mindugu ya ajabu sana hapa Duniani.


Na kuna wanawake wa ajabu sana hapa Duniani.


Unaweza kula mke wa Nduguyo?? ..unawezaje kubali kuliwa na Kaka wa mumeo ??


Mauaji hayataisha.
 
kweli watu tuko tofauti aisee.

yaani mimi katika swala ambalo nitalipokea kwa mikono miwili,ni mke wangu kutoka na kaka yangu.

nitakachofanya ni kumtaarifu shemeji tu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamiii, jamani mume au mke anauma sana hasa kuchapiwa huku ukijua, mm namshauli huyu jamaa akawaambie wazazi maana kama kaka mtu zipu yake mbovu familia nzima inajua hilo kwa hiyo aweke kikao na mkewe akiwepo

Baada ya hapo achunguze kinachoendelea,

,Kuna kisa kimoja ilikuwa hivi,

Musa alikuwa na rafiki ambae mpenda wanawake anaitwa said ,sasa said akawa anamtongoza mke WA musa ,mke musa akamwambia musa kwamba said ananitongoza ,musa akamwambia mkubalie na kisha upange nae kukutana mahali Fulani mm nitakuja kuwakamata mke musa akakubali,mwisho wa cku windo likaingia mtegoni sasa baada ya mke WA musa kuingi gesti na said musa akiwa anaju kila kitu nae akawa anakwenda kweny fumanizi

Mwanamke akijua muda wowote jamaa anaingi musa kwa haraka alikowa nayo alikuwa anaendesha gari hovyo na kwa kasi sana akakamatwa na polisi malumbano yalikuwa marefu mapaka wakafika polis ndio akaachiwa ,kula mwanamke akashindwa kujitetea akaliwa bila kinyongo musa anafika geati said ameshaondoka mkewe ndio anajaindaa kuondoka alipouliza kulikoni mwanamke akasema nimeona unachelewa nimemwambia leo nipo ktk cku zangu ameindoka tumepanga cku nyingine,toka cku ile musa hakusikia teeeeena kuhusu habari za said kwa mkewe, [hayo majina sio ya wahusika ni ya kutunga tu]

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole nyingi kwa Musa, Ila mke wa Musa aliamua kulinda Ndoa na nina imani mchezo huo unaendlea ndo maana hakukuwa na kesi zaid ya palee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo ilitokea kwa jamaa mmoja wa kanda ya kaskazini ambao wanapenda kuacha wake zao vijijini kisha wao wako mjini wanatafuta pesa huwa wanarudi mwezi wa 12 tu kila mwaka.

Basi jamaa kuna siku akapigiwa simu na mama yake mzazi kuwa aje amchukie mkewe la sivyo baba yake atamtia mimba, jamaa akatii wito akaenda kumchukua mkewe na kuja nae mjini.

Chakushangaza baada ya wiki baba kafunga safari kaja mjini eti kuwatembelea, jamaa hata hajui amtimue mzee wake au afanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo ilitokea kwa jamaa mmoja wa kanda ya kaskazini ambao wanapenda kuacha wake zao vijijini kisha wao wako mjini wanatafuta pesa huwa wanarudi mwezi wa 12 tu kila mwaka.

Basi jamaa kuna siku akapigiwa simu na mama yake mzazi kuwa aje amchukie mkewe la sivyo baba yake atamtia mimba, jamaa akatii wito akaenda kumchukua mkewe na kuja nae mjini.

Chakushangaza baada ya wiki baba kafunga safari kaja mjini eti kuwatembelea, jamaa hata hajui amtimue mzee wake au afanyaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh, huu ndio wakati wa kumkataa Baba yako Mzazi.
 
Habari wana jamiii, jamani mume au mke anauma sana hasa kuchapiwa huku ukijua, mm namshauli huyu jamaa akawaambie wazazi maana kama kaka mtu zipu yake mbovu familia nzima inajua hilo kwa hiyo aweke kikao na mkewe akiwepo

Baada ya hapo achunguze kinachoendelea,

,Kuna kisa kimoja ilikuwa hivi,

Musa alikuwa na rafiki ambae mpenda wanawake anaitwa said ,sasa said akawa anamtongoza mke WA musa ,mke musa akamwambia musa kwamba said ananitongoza ,musa akamwambia mkubalie na kisha upange nae kukutana mahali Fulani mm nitakuja kuwakamata mke musa akakubali,mwisho wa cku windo likaingia mtegoni sasa baada ya mke WA musa kuingi gesti na said musa akiwa anaju kila kitu nae akawa anakwenda kweny fumanizi

Mwanamke akijua muda wowote jamaa anaingi musa kwa haraka alikowa nayo alikuwa anaendesha gari hovyo na kwa kasi sana akakamatwa na polisi malumbano yalikuwa marefu mapaka wakafika polis ndio akaachiwa ,kula mwanamke akashindwa kujitetea akaliwa bila kinyongo musa anafika geati said ameshaondoka mkewe ndio anajaindaa kuondoka alipouliza kulikoni mwanamke akasema nimeona unachelewa nimemwambia leo nipo ktk cku zangu ameindoka tumepanga cku nyingine,toka cku ile musa hakusikia teeeeena kuhusu habari za said kwa mkewe, [hayo majina sio ya wahusika ni ya kutunga tu]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mke Wa mussa akawa amenogewa na mapigo ya saidi kwahyo akaendelea kuliwa kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom