Umewahi kutamani Kuhama mtaa kwasababu ya mambo ya Majirani zako?

Umewahi kutamani Kuhama mtaa kwasababu ya mambo ya Majirani zako?

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1690798571398.png

Kwenye kuishi tunakutana na mengi sana. Unaweza kuwa na nyumba yako kali na maisha yako safi tu ila aina ya Majirani wanaokuzunguka wakafanya uone kero ya maisha na kutamani kuondoka eneo hilo ila unashindwa kwasababu ndio ushajenga hapo.

Tupe experience yako eneo unapoishi au wewe naye ndio jirani unayelalamikiwa hapa?😀😀😀
 
Duuuuh mada nzuri sana ...Mimi nilihama kabisa sababu ya majirani ...yaani najuta mpaka Leo japo niliwekeza kijenga pale kwa zaidi ya 30m...
Majirani ni watu muhimu sana wakati wa kifanya uamuzi wa kujenga
 
Ndiyo,tulitamani kuuza nyumba but tulishahama tumewaacha wapangaji.

Watu wa hovyo sana,eti sasa wanajifanya wema sana tukienda kutembelea, tulipo sasa ni poa kila mmoja na mishe zake unaweza maliza mwezi usimuone jirani
 
Ndiyo,tulitamani kuuza nyumba but tulishahama tumewaacha wapangaji.

Watu wa hovyo sana,eti sasa wanajifanya wema sana tukienda kutembelea, tulipo sasa ni poa kila mmoja na mishe zake unaweza maliza mwezi usimuone jirani
Itakuwa mpo ushuani tu
 
Duuuuh mada nzuri sana ...Mimi nilihama kabisa sababu ya majirani ...yaani najuta mpaka Leo japo niliwekeza kijenga pale kwa zaidi ya 30m...
Majirani ni watu muhimu sana wakati wa kifanya uamuzi wa kujenga
Haha Pole sana mzee
 
Kuna mahala nilipanga miaka ya nyuma, jirani yangu alikua HB basi mie kujitegesha halafu mpuuzi yule ananimega na kuishia kunipa 50k. Nilihama maana nikaona hapa nitararuka huko bondeni maana mwehu yule show yake ilikua nuksi
 
Kuna mahala nilipanga miaka ya nyuma, jirani yangu alikua HB basi mie kujitegesha halafu mpuuzi yule ananimega na kuishia kunipa 50k. Nilihama maana nikaona hapa nitararuka huko bondeni maana mwehu yule show yake ilikua nuksi
ID Yako na avatar noma sana bora jirani alikukula Bado mimi

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Baada ya aliyekuwa dem wangu kunibambika mimba na mtoto syo wangu nilihama nyumbani mpaka leo mwaka wa tano sijarudi,huwa najiskia vibaya sana mtu akiniambia hata habari tu za nyumbani kwasababu moja kwa moja huwa inakuja picha ya yule mwanamke.
 
Kuna mahala nilipanga miaka ya nyuma, jirani yangu alikua HB basi mie kujitegesha halafu mpuuzi yule ananimega na kuishia kunipa 50k. Nilihama maana nikaona hapa nitararuka huko bondeni maana mwehu yule show yake ilikua nuksi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe khaaaa!!
 
Back
Top Bottom