gerry ZaNtes
Member
- Jan 1, 2014
- 25
- 13
umenifrahisha sana mkuu.mwenyewe nilifanyaga hvyoishanitokea hiyo nlivopata chance ya kujitambua niliruka kidogo nikatwe na pangaboy(Feni la juu)
Uwezo wa aina mkuu?Wakiti hii hali inatokea kuna upande ambao huwezagi kuuangalia hata kidogo..sasa huo upande ndio wenye mambo yote...ukiwa na uwezo unaweza kuuona na ukiangalia kwa haraka utagundua vitu vingi.
NOTE:Ni kwa wale wenye uwezo kama huna usijitutumue unaweza kupotea!!!
Uwezo wa aina gan mkuu?
Uwezo wa aina mkuu?
Duuh hii sasa mbona hatar mkuuUwe fit kwenye mambo ya kishetani au umesimama katika imani..
nightmare husababishwa na ulalaji mbaya, hamna cha jini yunus wala sura ya lahatPole_nilikuwa napatwa na hali hiyo zaman sana. ni Jinamizi. ni mdudu mwenye mkono wenye vidole viwili hukukaba koo kwa vidole hivyo viwili
anaua kabisa. tena fasta
mimi nikinikipwa na hali hiyo nasoma aya tuh kursii yanaachia
Ndo ivo kumbe??? Kumbe hamna cha uchawi eh???? Natamani ufunguke zaidi mkuuMwili wa kila kiumbe umepewa SUBCONSCIOUS hii ni sehem ambayo inafanya kazi without your conscious awareness!inaratibu vitu vyote mfano inapotokea hatari kama tungetumia conscius mind tungeshakufaga wote sbb iko slow sana kwenye snap decisions.unapokuw umelala then ukaota ndoto ya kutisha kuna fluid ambayo inafanya mwili uparalze temporary ili usijidhuru wakati unatishika ndotoni ndo maana ya jinamizi sio kwamba umekabwa au umekosa oxgen km watu wanavyodhani.Subconscious inafanya kazi involunteery yaan huwez kuicontrol kama mapigo y moyo au digestion y chakula.
Mwili wa kila kiumbe umepewa SUBCONSCIOUS hii ni sehem ambayo inafanya kazi without your conscious awareness!inaratibu vitu vyote mfano inapotokea hatari kama tungetumia conscius mind tungeshakufaga wote sbb iko slow sana kwenye snap decisions.unapokuw umelala then ukaota ndoto ya kutisha kuna fluid ambayo inafanya mwili uparalze temporary ili usijidhuru wakati unatishika ndotoni ndo maana ya jinamizi sio kwamba umekabwa au umekosa oxgen km watu wanavyodhani.Subconscious inafanya kazi involunteery yaan huwez kuicontrol kama mapigo y moyo au digestion y chakula.
Mkuu hebu elezea vizuri kwa undani.. hali hii huwa inanitokea sana halafu huwa naishia kupiga kelele....kuweseka.. i cant move any party of my body.
Kani mention kule mkuu... then nikaupitiedada hali hiyo ikikutokea usipige kelele wala kupata wasiwasi, heku pitia kule intelijensi tafuta uzi wa astral projection, kama hujaelewa uliza
Unalala peke yako?Mkuu hebu elezea vizuri kwa undani.. hali hii huwa inanitokea sana halafu huwa naishia kupiga kelele....kuweseka.. i cant move any party of my body.