Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sitokiTuambie namna uliuziwa ardhi yenye utata ilikuaje, na ulitatuaje hiyo changamoto?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mimi sijakutana na changamoto hiyo. Ila ninanunua mashamba napima nauza huku KibahaAnza wewe
Pole sana. Karibu kibaha nikupe viwanja vyenye hati kwa bei nzuriUsitoneshe vidonda watu hii mbona wengi tu.
Bei ganiPole sana. Karibu kibaha nikupe viwanja vyenye hati kwa bei nzuri
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hapa Sqm 400 ni million 4Bei gani
Hati ya wizara au ya serikali ya mtaaPole sana. Karibu kibaha nikupe viwanja vyenye hati kwa bei nzuri
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Vyenye hati ya wizara auPole sana. Karibu kibaha nikupe viwanja vyenye hati kwa bei nzuri
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Viko kibaha sehemu gani?Hapa Sqm 400 ni million 4
Kuna vyenye Hati sqm 600 million 5.5
Chenye Hati sqm 600 million 7
Inategemea na umbali toka moro road
0744757738View attachment 2735612
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kibaha kwa mfipaViko kibaha sehemu gani?
Hati zote zinatolewa na Wizara ya Ardhi.Hati ya wizara au ya serikali ya mtaa
Ni kweli mkuu nimeuliza hv coz hawa wauza viwanja wanatabia ya kuwapa watu documents za serikal ya mtaa kwa madai ya kuwa ni HatiHati zote zinatolewa na Wizara ya Ardhi.
Kama haitoki Wizara ya Ardhi hiyo si Hati
Certificate of Occupancy inatolewa na Wizara ya Tanzania tu.Ni kweli mkuu nimeuliza hv coz hawa wauza viwanja wanatabia ya kuwapa watu documents za serikal ya mtaa kwa madai ya kuwa ni Hati
Ndio hati ya wizaraVyenye hati ya wizara au
Bei zenu zipoje?