Umewahi kuuziwa Ardhi mara 2, au kuuziwa eneo la uvamizi?

Umewahi kuuziwa Ardhi mara 2, au kuuziwa eneo la uvamizi?

Certificate of Occupancy inatolewa na Wizara ya Tanzania tu.

Hizo Serikali za Mitaa ndo unaenda nunua ugomvi
Serikali ya kijiji inatoa customary certificate of occupancy na ina hadhi sawa na ya Wizara. Tena hiyo ndiyo bora zaidi kwa sababu inaweza kuwa ya miaka 33 mpaka indefinite.
 
Serikali ya kijiji inatoa customary certificate of occupancy na ina hadhi sawa na ya Wizara. Tena hiyo ndiyo bora zaidi kwa sababu inaweza kuwa ya miaka 33 mpaka indefinite.
Kwamba Dar utaikuta hiyo ya Kimila?
 
Kwamba Dar utaikuta hiyo ya Kimila?
Dar es salaam kuna vijiji ambavyo vipo chini ya serikali ya kijiji.
Baraza la kijiji (village council ) lina mamlaka yote ya ardhi ya kijiji (ardhi ya kijiji ni ardhi ambayo haijapimwa na kuorodheshwa na wizara ya ardhi kwa kupitia halmashauri ya mji/manispaa/jiji/wilaya).
Mamlaka hayo yapo chini ya sheria ya ardhi ya vijiji na pia Local Government Finance Act. Na baraza la kijiji linaweza kutoa customary right of occupancy.
 
Vizuri kabla ya kununua kiwanja au shamba ukawashirikisha wataalam, mbona mkinunua magari mnatafuta mafundi? uanogopa kutoa Tsh 50,000 wakati unatapeliwa milion 10?

Karibuni Danvast Land and Property kwa Huduma ya kuhakiki eneo unalotaka kununua kabla hujatapeliwa tutakusaidia kufanya uchunguzi wa kina na kukushauri bei ya kununua.
Pia tuna viwanja tunauza sehemu mbalimbali Dar es salaam.
Vinaanzia 1.600,000/
piga simu 0742991105 kwa msaada zaidi.
 
Vizuri kabla ya kununua kiwanja au shamba ukawashirikisha wataalam, mbona mkinunua magari mnatafuta mafundi? uanogopa kutoa Tsh 50,000 wakati unatapeliwa milion 10?

Karibuni Danvast Land and Property kwa Huduma ya kuhakiki eneo unalotaka kununua kabla hujatapeliwa tutakusaidia kufanya uchunguzi wa kina na kukushauri bei ya kununua.
Pia tuna viwanja tunauza sehemu mbalimbali Dar es salaam.
Vinaanzia 1.600,000/
piga simu 0742991105 kwa msaada zaidi.
Sema tu mnauza viwanja na siyo kusema mtamshauri mtu bei ya kununulia kiwanja
 
Serikali ya kijiji inatoa customary certificate of occupancy na ina hadhi sawa na ya Wizara. Tena hiyo ndiyo bora zaidi kwa sababu inaweza kuwa ya miaka 33 mpaka indefinite.
Mbona unapuyanga jamaa yangu.
Wenyeviti wa S/M hawana mamlaka kisheria kuuza au kugawa Ardhi.. ila Kikao cha Mkutani Mkuu wa Vijiji. Kama ukiwa na Muhtasari unaweza kusimamia ukaaema umezingatia sheria na at least una document yenye meno... Ila hii kujiandikia na mwenyekiti na Wajumbe na Diwani mara Mtendaji ni kujilisha upepo. Na usije simama na hayo makaratasi ukatamba ..yatakuhumble haraka sana
 
Mbona unapuyanga jamaa yangu.
Wenyeviti wa S/M hawana mamlaka kisheria kuuza au kugawa Ardhi.. ila Kikao cha Mkutani Mkuu wa Vijiji. Kama ukiwa na Muhtasari unaweza kusimamia ukaaema umezingatia sheria na at least una document yenye meno... Ila hii kujiandikia na mwenyekiti na Wajumbe na Diwani mara Mtendaji ni kujilisha upepo. Na usije simama na hayo makaratasi ukatamba ..yatakuhumble haraka sana
Soma comment vizuri, usidandie ndege.
 
Back
Top Bottom