Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Hii tabia kuna mtu ameshakutana nayo? Unaenda dukani kununua maji makubwa unapewa ila ukifika nyumbani wakati wa kufungua unagundua hakuna seal
1. Nikiwa Mgahawa fulani nje ya mji niliagiza maji makubwa ya baridi,nikaletewa ila yana ladha ya ajabu japo yalikuwa na seal (
2. Nilinunua duka la mtaani kwangu maji makubwa (mimi ni mteja wa kila siku) nikayaweka chumbani alafu nikafunga mlango na kuondoka (naishi mwenyewe) nimerudi usiku huu nimegundua yale maji hayana seal, nimejiuliza muuzaji kafanya makusudi au bahati mbaya tu amenipa maji yake yeye ya bombani lakini nimegundua ni makusudi kwa sababu hata ujazo ulikuwa kama ya dukani mapya
1. Nikiwa Mgahawa fulani nje ya mji niliagiza maji makubwa ya baridi,nikaletewa ila yana ladha ya ajabu japo yalikuwa na seal (
2. Nilinunua duka la mtaani kwangu maji makubwa (mimi ni mteja wa kila siku) nikayaweka chumbani alafu nikafunga mlango na kuondoka (naishi mwenyewe) nimerudi usiku huu nimegundua yale maji hayana seal, nimejiuliza muuzaji kafanya makusudi au bahati mbaya tu amenipa maji yake yeye ya bombani lakini nimegundua ni makusudi kwa sababu hata ujazo ulikuwa kama ya dukani mapya