NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Mwanzo huwa ni vitisho na kupewa presha juu ya balaa utalokutana nalo wakiweka mambo wazi, kinachofuata huwa ni utiifu wa kutenda wanayotaka, baada ya hapo ule muendelezo wa kutii kila mara mhanga anaanza kuchoka na hata anaetoa amri kuhisi anapata kidogo inabidi apewe zaidi.
mifano:
umerekodiwa kisiri kwenye maongezi ya simu ukimkashifu mtu mwengine mfano boss, alierekodi anakutishia usipo mpa anachotaka anamfowadia boss voice notes, kivumbi utakutana nacho ofisini.
Kupigwa picha ukiwa na mchepuko, unatishiwa usipolipa pesa kiasi kadhaa kila mwezi, picha zitafowadiwa kwa wife, ndoa kuvunjika ni rahisi hapo.
mifano:
umerekodiwa kisiri kwenye maongezi ya simu ukimkashifu mtu mwengine mfano boss, alierekodi anakutishia usipo mpa anachotaka anamfowadia boss voice notes, kivumbi utakutana nacho ofisini.
Kupigwa picha ukiwa na mchepuko, unatishiwa usipolipa pesa kiasi kadhaa kila mwezi, picha zitafowadiwa kwa wife, ndoa kuvunjika ni rahisi hapo.