Umewahi kuwa na mpenzi anaependa kukugeuzia kosa?

Umewahi kuwa na mpenzi anaependa kukugeuzia kosa?

Wild sniper

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
4,399
Reaction score
8,629
Story iko hivi.
Nimewahi kuwa na mahusiano na dada mmoja hivi sasa huyo dada alikua na tatizo moja yeye hajuagi neno msamaha yani kutamka hilo neno ni kwa mbinde sana.

Alikua na tabia ya kupenda kunigeuzia sana kosa, yani kwa mfano akifanya kitu nikaonyesha kukasirishwa nacho badala aombe samahani yeye alikua ananitafutia angle anigeuzie kosa na siku ya mwisho najikuta mimi ndo naomba samahani.

Anaweza kunikosea then mimi nikareact nikakasirika sasa anachofanya ananiuliza "yani kitu kidogo ndo umekasirika hivyo". Then hapo ananuna anasema naona sikufai bora tuachane tu. Na vile nilikua nampenda sana yani basi najishusha sana namwambia ok sorry hata siku nzima ndo napata msamaha na kosa alifanya yeye.

Siku nikasema huyu akirudia tena neno tuachane namuacha mazima kama kuumia acha niumie na kweli siku akanikosea tena kosa kubwa sana akaniambia tuachane nikamjibu fine hakuamini ndo ikatoka hiyo wiki zikakata akarudi kuomba msamaha lakini mi kama bodaboda haina kurudi nyuma.
Je wakuu girls wa aina hii huwa mnaenda sawa nao vipi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangu aliletaga hiyo tabia Mara 1 hawezi kurudia tena maana alisema tuachane nikamjibu "Afadhari" nikamlamba na vibao viwili ili kosa likue kidogo tuachane

WAPO WANANIELEWA MPAKA HAWAJIELEWI
 
Story iko hivi.
Nimewahi kuwa na mahusiano na dada mmoja hivi sasa huyo dada alikua na tatizo moja yeye hajuagi neno msamaha yani kutamka hilo neno ni kwa mbinde sana.
Alikua na tabia ya kupenda kunigeuzia sana kosa, yani kwa mfano akifanya kitu nikaonyesha kukasirishwa nacho badala aombe samahani yeye alikua ananitafutia angle anigeuzie kosa na siku ya mwisho najikuta mimi ndo naomba samahani.
Anaweza kunikosea then mimi nikareact nikakasirika sasa anachofanya ananiuliza "yani kitu kidogo ndo umekasirika hivyo". Then hapo ananuna anasema naona sikufai bora tuachane tu. Na vile nilikua nampenda sana yani basi najishusha sana namwambia ok sorry hata siku nzima ndo napata msamaha na kosa alifanya yeye.
Siku nikasema huyu akirudia tena neno tuachane namuacha mazima kama kuumia acha niumie na kweli siku akanikosea tena kosa kubwa sana akaniambia tuachane nikamjibu fine hakuamini ndo ikatoka hiyo wiki zikakata akarudi kuomba msamaha lakini mi kama bodaboda haina kurudi nyuma.
Je wakuu girls wa aina hii huwa mnaenda sawa nao vipi?.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa inatokea hata mimi imewahi nitokea piaa
Story iko hivi.
Nimewahi kuwa na mahusiano na dada mmoja hivi sasa huyo dada alikua na tatizo moja yeye hajuagi neno msamaha yani kutamka hilo neno ni kwa mbinde sana.
Alikua na tabia ya kupenda kunigeuzia sana kosa, yani kwa mfano akifanya kitu nikaonyesha kukasirishwa nacho badala aombe samahani yeye alikua ananitafutia angle anigeuzie kosa na siku ya mwisho najikuta mimi ndo naomba samahani.
Anaweza kunikosea then mimi nikareact nikakasirika sasa anachofanya ananiuliza "yani kitu kidogo ndo umekasirika hivyo". Then hapo ananuna anasema naona sikufai bora tuachane tu. Na vile nilikua nampenda sana yani basi najishusha sana namwambia ok sorry hata siku nzima ndo napata msamaha na kosa alifanya yeye.
Siku nikasema huyu akirudia tena neno tuachane namuacha mazima kama kuumia acha niumie na kweli siku akanikosea tena kosa kubwa sana akaniambia tuachane nikamjibu fine hakuamini ndo ikatoka hiyo wiki zikakata akarudi kuomba msamaha lakini mi kama bodaboda haina kurudi nyuma.
Je wakuu girls wa aina hii huwa mnaenda sawa nao vipi?.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom