ikoje hiyo bonus account kaka ? Naomba msaada mzee.Im intrestedUsitumie kibubu unaathiriwa na inflation.
Tumia saving account kama BONUS ACCOUNT ya NMB.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ikoje hiyo bonus account kaka ? Naomba msaada mzee.Im intrestedUsitumie kibubu unaathiriwa na inflation.
Tumia saving account kama BONUS ACCOUNT ya NMB.
#YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alijua kukukomesha lolSitasahau nilikuwa naweka za 1k,2k,5k na 10k kwenye kibubu akaja dogo toka school likizo kukaa kwangu akakiona akawa ananichora tu.
Siku wamefungua dogo akaenda sokoni akakinunua kibubu kinafanana kinoma akabeba chenye hela akaniacha kitupu,
Sikugundua mapema Kama kimebadilishwa nikaendelea kutupia noti huku nakadiria kuwa kitakuwa na 500k.
Siku moja nikakishika nikasema mbona kibubu hakiwi kizito na ni miezi mitano.
Nikakivunja we nilikuta kuna 52k.
Ilibidi nicheke kwanza nikajua chuma ulete kuja kukiangalia vizuri kumbe kilibadilishwa daah we dogo sitakusahau aisee.