Umewahi kuwekeza nini kwa ajili ya mapenzi (mahusiano) na mkaja kuachana?

Umewahi kuwekeza nini kwa ajili ya mapenzi (mahusiano) na mkaja kuachana?

Vyote pesa na muda; but hua naumia sana kupoteza muda niliowekeza kwa mtu then anauchezea na hatufiki popote; why? Coz pesa naweza wekeza pesa penzi likavunjika nikajipanga upya nikazipata tena iwe ni chache; nyingi au sawa na nilizopteza; ila muda ukishaupoteza haurudi mzee...mbaya zaidi muda una effect hata kwenye energy ya utafutaji; maana unaweza zinguana na mtu at the age of 35-40; huo muda ulopoteza hata ukisema uanze upya huenda nguvu na hata akili ya utafutaji na kujipanga upya haiwezi kua sawa na kipindi uko na age ya 30 and below....to me time is more than money!!!
 
juma balo aliimba pendo la zaman lilinikondesha walitajiani kunikumbusha ujuemoyon wanisikitisha.....
Naucheka wakati uliopita, huku nikiufurahia wakati ujao 😁😁
 
Huu uzi KE' mlipita kimyaaaa
 
Nikweli alitokea kunipenda kinafki na anapika msosi anamuita jamaa yangu boda boda aniletee na hera anamlipa but jambo la kushangaza kumbe demu alikuwa anajiuza kwenye madangulo nje ya mkoa tunaoishi, kinachoniuma zaidi mtaani niliwakataa mademu kibao nikidhani nimefika kwa huyu mtoto kumbe, nilipo kuja kugundua anajiuza aisee huu mwaka umeisha kivingine, ila nitabaki kuitunza zawaidi yake ya viatu vya air max vipya alivyo ninunulia, ingawa ameniharibia kwa wazazi mpaka mtaani maana nilikuwa nisha mtambulisha home ila kwao sifahamiki,
 
Mudaa..mudaa..mudaaa

Ile mistake ya kumwacha mtoto wa mtu anipotezee muda sitoirudia wallahiii
 
Mimi yupo mmoja huyo ilikuwa

Kila siku natuma 5000 ya kula
Mwisho wa mwezi 10000 ya umeme
Kila weekend natuma 10000 ya saloon
Kila week namuunga Brando la 3000 la week kifurushi .

Lakini mwisho wa siku nilikuja kugundua yote haya ninayomfanyia moyoni mwake Simo hapo ndipo nilipogundua kumpenda mtu asiyekupenda ni sawa na kazi bure hata umfanyie nini ,,,

Ilinichukua muda mrefu kujitoa katika hayo mahusiano maana binti nilikuwa nina mpenda sana kuachana na Yule binti mpka nakuja kukaa sawa ilinichukua almost miezi 6 kukubali uhalisia sipendwi nahitaji kuanza upya

Ila nashukuru baada ya kuanza upya niko vizuli na Yule binti mpka leo hii bado ananitafuta tusahau ya zamani tufungue ukurasa mpya
Pole sana Mkuu. Ulikuwa hupendwi na ndio maana akakufanya ATM yake. Wakati huo huo kuna watu walikuwa wanamuzagamua bure bila hata shingimia.

Pengine hata ukimpa bando anagawana na mwanaume mwenzio.

Ila kwa inavyoonekana bado unampenda na atarudi na mimba akwambie ni yako na utakubali.
 
Nikweli alitokea kunipenda kinafki na anapika msosi anamuita jamaa yangu boda boda aniletee na hera anamlipa but jambo la kushangaza kumbe demu alikuwa anajiuza kwenye madangulo nje ya mkoa tunaoishi, kinachoniuma zaidi mtaani niliwakataa mademu kibao nikidhani nimefika kwa huyu mtoto kumbe, nilipo kuja kugundua anajiuza aisee huu mwaka umeisha kivingine, ila nitabaki kuitunza zawaidi yake ya viatu vya air max vipya alivyo ninunulia, ingawa ameniharibia kwa wazazi mpaka mtaani maana nilikuwa nisha mtambulisha home ila kwao sifahamiki,
Sawa alikuwa anajiuza mbona kwako hajajiuza? Isije kuwa umesikia stori za watu.
 
K
Mimi yupo mmoja huyo ilikuwa

Kila siku natuma 5000 ya kula
Mwisho wa mwezi 10000 ya umeme
Kila weekend natuma 10000 ya saloon
Kila week namuunga Brando la 3000 la week kifurushi .

Lakini mwisho wa siku nilikuja kugundua yote haya ninayomfanyia moyoni mwake Simo hapo ndipo nilipogundua kumpenda mtu asiyekupenda ni sawa na kazi bure hata umfanyie nini ,,,

Ilinichukua muda mrefu kujitoa katika hayo mahusiano maana binti nilikuwa nina mpenda sana kuachana na Yule binti mpka nakuja kukaa sawa ilinichukua almost miezi 6 kukubali uhalisia sipendwi nahitaji kuanza upya

Ila nashukuru baada ya kuanza upya niko vizuli na Yule binti mpka leo hii bado ananitafuta tusahau ya zamani tufungue ukurasa mpya
Kaka ulijitoa kusema ukwel i
 
Lakini mwisho wa siku nilikuja kugundua yote haya ninayomfanyia moyoni mwake Simo hapo ndipo nilipogundua kumpenda mtu asiyekupenda ni sawa na kazi bure hata umfanyie nini ,,,
Mapedejee wanaachwa sembuse hizo cent zako.

Ukiona Mwanamke anakukamua na kukuwekea masharti mara hiki mara kile jua hupendwi hapo.
 
K

Kaka ulijitoa kusema ukwel i
Kuna watu wana moyo......lakini nyie vijana hela mnazipataje aisee?

Tumuulize wakati anampa Msichana pesa na matunzo hayo Mama yake mzazi alimkumbuka?😅😅
 
Back
Top Bottom