THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Yeah! wengi sana hasa advance nimechapa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kam kauwaaa wakija weee fumuaaa tu!
Ngoja nikae kimya, unaweza sema jambo kumbe huyi mwalimu nae yupo humu...Kam kauwaaa wakija weee fumuaaa tu love!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Sema tu hapa tunatoa experience mliodate walimu wenu au wanafunzi wenu 😂😂😂!Ngoja nikae kimya, unaweza sema jambo kumbe huyi mwalimu nae yupo humu...
Vijana wa Mwl.KondoNikiwa darasa la saba mwishoni kabisa walikuja walimu ajira mpya
Pis kadhaa moja nikaimba nayo ikatia tiki kwa kujingantangata
Kimbembe kuna li braza la kitaa siku mbili mbeleni lilinikutaniza naye nimeshika mkono nikawashiwa moto kinoma
Mikocheni primary school
Njia ya kwenda home ilibid ibadilike kutoka njia wanaiitaa kijijini msj kuelekea makumbusho
Ikabid nianze kula mzunguko kairuki nitokee kwa kina zizzou fashion
Jamaa kumbe alishajiweka tayar mpuuz yule
Miaka 2000naa
Wakuu hii hutokea sana tena Mara nyingi huko tunapokuwa tunatafuta elimu
Unaweza kuona mwalimu wa kike/kiume kampenda mwanafunzi wake au mwanafunzi wa kiume kampenda mwalimu wake wa kike/kiume
Sasa hapa shida huwa ni mbinu za kuanzia kumtongoza na najua wengine wapo humu jamvini ,naomba mtuambie mlianzaje kutongoza
Hapana, siwezi sema chochote...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Sema tu hapa tunatoa experience mliodate walimu wenu au wanafunzi wenu 😂😂😂!
Mwalimu wa Physics sijui hesabu vilee 🤣🤭
🤣🤣🤣🤭Hapana, siwezi sema chochote...
Kitaa cha wapi? Hiyo story ulikiwa hujazaliwa. Huyo ninayemueleza ndiye Mama yako. Mdingi wako alininyang'anya jiko.Hii stori mbona kama msela wangu wa hapa kitaaa aliwahi nipa hii story au ni wewe?😂😂😂😂😂
to yeye hii avatar yako mpya inasisimua...😅
dah aiseee..Wakuu hii hutokea sana tena Mara nyingi huko tunapokuwa tunatafuta elimu
Unaweza kuona mwalimu wa kike/kiume kampenda mwanafunzi wake au mwanafunzi wa kiume kampenda mwalimu wake wa kike/kiume
Sasa hapa shida huwa ni mbinu za kuanzia kumtongoza na najua wengine wapo humu jamvini ,naomba mtuambie mlianzaje kutongoza
Binti hujambo, nimesoma kisa chako, utani dm, nimedhamiria kukusaidia🤣🤣🤣🤣 tulia wewee😉
Confession kama izi zimewacost Mapacha wa ARU.
Sawa Asante sanaBinti hujambo, nimesoma kisa chako, utani dm, nimedhamiria kukusaidia