Umewahi mtongoza mwalimu wako au mwanafunzi wako

Kwahiyo nduguzangu mliobakwa na mliobaka tunaendelea kuwasubiri mtoe ushuhuda
 
Nikiwa jeshini kuruta nilipendwa na mwanamama alikuwa captain wa jeshi.....basi muda wa usiku huwa jeshini makuruta wanaimba hadi saa sita usiku

Yaani mnakaa chini kuimba tu

Sasa mimi huo muda naitwa na yule captain alikuwa na bonge la tako afu mke wa mtu naingia kwenye gari yake ananyonya machine weeeeee kisha namfua kwenye gari
Tabora huko


Hadi namaliza mafunzo yangu mwaka 2012 nikaja dar alikuwa ananitafuta alinipenda kweli sijawah mpa hata mia..... sasa hivi ni kanali kama sikosei

Long time
 
Hii code ipo wazi kabisa.
 
Nyie ndiyo huwaga mnaitia najisi pamoja na mikosi dunia ya wapendanao!

Hapa umesema kabisa 'mlipendana', enhee, kwanini usimuoe kabisa?

Haujui kupendana ni thawabu adimu sana kuipata hapa duniani?

Watu hadi wanafikia kufanya mapenzi, unakuta hawapendani bali wanafanya kwa malengo.

Watu wanaitana wapenzi ama kutamka 'nakupenda' lakini kiuhalisia kunakuwa na malengo fiche upendo haupo!

Sasa wewe ulimpata mnayependana naye lakini ukaichezea shilingi chooni!

Leo umebaki tu na visingizio!

Aibu yako mkuu.
 
Hahaaaaa mi mtu mzima kidogo na hiko kitu ni cha miaka 15 iliyopita. Binafsi ni kweli nilimpenda yule binti naye alinipenda sana ila lazima nikiri nilikuwa kwenye "foolish age". Yashapita hayo na wala silalamiki kwani sasa ni mme wa mke mmoja na Baba wa watoto 4. Yameshapita hayo, ni story tu za JF
 
Nikiwa o level nilimpenda sana madam wangu wa history, siku moja nilitaka kumwambia ila...
 
Mambo ya Msange JKT 😂😂
 
Sina tabia hii ila hii ni chai..,
 
Pia alikuwa dakta kama sijakosea.
 
Walimu wa bongo below 30 tunaenjoy sana....
Nadhani sisi ndiyo tunaopost KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…