Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 297
- 1,687
- Thread starter
-
- #181
ule uzi unabalance na huuKwa kweli shetani hapiti pale[emoji28][emoji28][emoji28]
Unaogopa kufa kwani hutaki kwenda mbinguniHuu uzi unatisha..bakini wenyewe mi naondoka, sijui nini kimenileta
Enzi za ujana, nilipata demu mmoja mkali sanaaaaa na nilimfukuzia kwa miezi 6 bila kuchoka. Siku ya siku akaingia laini nami bila ajizi tukaenda guest house. Katikati ya gemu ghafla demu akakakamaa na kugeuza macho (yaani ile mboni nyeusi haionekani, ni nyeupe tuu!!). Stimu zote za game zikakaza, nikavaa na kwenda kwa mhudumu wa gesti ambaye ni jamaa yangu ili anipe ushauri, jamaa akasema tusubirie muda kidogo tuone... Nikaagiza konyagi ndogo nikaipiga tarumbeta ikaisha, na baadae nikarudi room nikamkuta kalala usingizi, anapumua vizuri na kukoroma juu, nikamuacha tuu. Baada ya masaa 2 ndiyo akaamka na yuko fresh kabisa, na baadae nilikuja kubaini kwamba kumbe yeye akifikia kileleni lazima hiyo hali imtokee daaah..Umewahi fiwa na demu gheto?
Hapo Israeli anaichomoa roho kwa nguvu ndiyo maana alikuwa anahangaika sanaa.. Kuna jamaa alikuwa anapiga story na mgonjwa wake huku wanacheka na baadae mgonjwa akamwambia mimi nalala sasa, mbaki salama na uwaangalie wadogo zako, ndani ya dakika 5 akstoka kwenye kiti kwenda kitandani kumshushia neti lakini akakuta tayari keshafariki, kwa utulivu kabisa.Kuna siku nilikuwa na mgonjwa sijui ndo mwaisela Ile, Muhimbili kwa wanaume
Sasa nimeshafika juu ila nikakosea direction ile napepesa macho huku na kule nikamkuta mzee mmoja alikuwa kwenye kile kitanda cha kusukuma yupo peke yake.
Sekunde tu akaanza kurusha miguu na mikono nikabakia nimepigwa na butwaa
Kuja kushtuka amekakamaa nadhani ndo alifariki hivyo,
Kwa kweli lile tukio halijawahi kunitoka kichwani
Niende nikifikisha miaka Mia, Mungu aniache kwanza nifaidi ya dunianiUnaogopa kufa kwani hutaki kwenda mbinguni
Duuuuh,ukiwemo na wewe maana pia ume commentUzi wa kiduwanzi mliokoment wote stupid
Msama wa dhambi ni kwa walio hai tuTuwaombee waliotangulia Allah awape pumziko Jema na awasamehe Dhambi zao
Kuna ile stori ya jamaa wa chuo (UD)Hatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Acha utani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna ile stori ya jamaa wa chuo (UD)
Long time ago
Demu alifariki getoni kwake
Baada ya kushauriana na washkaji wakaamua watafute jeneza (yale ya kiislam) usiku kwa usiku, wakamuweka marehemu na kusubiri hadi mida ile ya alfajiri waumini wakiwa wanatoka msikitini...
Basi (jamaa walikuwa wanne), wakapita na jeneza kwa uelekeo wa kwenda msikitini...
Sasa ule utamaduni wa kupokezana kubeba ukachukuwa nafasi yake, kila aliyepokewa akatokomea kusikijulikana...
Kilichoendelea hakijulikani.
pole sana aiseeeMwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho....
Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Mimi naye sikai dirishani, huwa nakaa siti ya mwisho kati kati
kuna mmja alifiwa na demu hotelini/guest akaenda kununua begi kubwa yale kama yana ngazingazi.... akalifungua akatumbukiza mzigo akatoka nae kama anasafir hadi ubungo akampa utingo akaweka kwenye buti akasepa zake.Hatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Gari ikapata pancha getini, wakaziba pancha, kufika Kimara gari inachemsha kichizi, gari imechanganya oil na maji, water pump imekufa. Safari ikaishia hapokuna mmja alifiwa na demu hotelini/guest akaenda kununua begi kubwa yale kama yana ngazingazi.... akalifungua akatumbukiza mzigo akatoka nae kama anasafir hadi ubungo akampa utingo akaweka kwenye buti akasepa zake.
HahahahaGari ikapata pancha getini, wakaziba pancha, kufika Kimara gari inachemsha kichizi, gari imechanganya oil na maji, water pump imekufa. Safari ikaishia hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Enzi za ujana, nilipata demu mmoja mkali sanaaaaa na nilimfukuzia kwa miezi 6 bila kuchoka. Siku ya siku akaingia laini nami bila ajizi tukaenda guest house. Katikati ya gemu ghafla demu akakakamaa na kugeuza macho (yaani ile mboni nyeusi haionekani, ni nyeupe tuu!!). Stimu zote za game zikakaza, nikavaa na kwenda kwa mhudumu wa gesti ambaye ni jamaa yangu ili anipe ushauri, jamaa akasema tusubirie muda kidogo tuone... Nikaagiza konyagi ndogo nikaipiga tarumbeta ikaisha, na baadae nikarudi room nikamkuta kalala usingizi, anapumua vizuri na kukoroma juu, nikamuacha tuu. Baada ya masaa 2 ndiyo akaamka na yuko fresh kabisa, na baadae nilikuja kubaini kwamba kumbe yeye akifikia kileleni lazima hiyo hali imtokee daaah..
noGari ikapata pancha getini, wakaziba pancha, kufika Kimara gari inachemsha kichizi, gari imechanganya oil na maji, water pump imekufa. Safari ikaishia hapo
Kufika mbele pancha, oh ooooo!!no
waliwasha gari kufika kibaha gari ikazima tena,kumbe plate number ndio ilichomoka.
wakarudi kuifuata wakabandika ikawaka