Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

By yr 3000, hakuna kiumbe aliyepo kwenye hii platform atakuwa hai. Damn it!πŸ˜ͺπŸ˜ͺ
 
Kaka angu nakuomba. Achana na sisi humu kabisa. Kuna kaupumbavu tunako na bado hatujakua. Ukute anacomment kutoka kwa shemeji yake. Kwa heshima ya mtoto wetu (REST IN PEACE LOVELY SOUL), just ignore kila fool atakaetaka kukuudhi.
Asante kwa hekima kubwa
 
Nilikua na msela wangu tumetoka mkoa mwana anadrive me niko kushoto nimeshika glass nakula k.vant mwana anakula maji baridi full mastori full happy,ilikua km kilometres 20 tufike sijui hata tuligongana vipi na Costa,napata fahamu nipo nje napepewa mwana wanamtoa kwenye ndinga kabanwa.Kwakifupi mchizi ndo hivyo alikua tayari katembea(rip maniga).Me niliumia kidogo sana ila gari tuliuza chuma chakavu.
 
K vant Ina maajabu yake ktk medani sawa na maji ya upako... Oooh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…