Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

By yr 3000, hakuna kiumbe aliyepo kwenye hii platform atakuwa hai. Damn it!😪😪
 
Kaka angu nakuomba. Achana na sisi humu kabisa. Kuna kaupumbavu tunako na bado hatujakua. Ukute anacomment kutoka kwa shemeji yake. Kwa heshima ya mtoto wetu (REST IN PEACE LOVELY SOUL), just ignore kila fool atakaetaka kukuudhi.
Asante kwa hekima kubwa
 
Leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu.

Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekuwa mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme.

Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu, inatoka kila eneo la wazi la mwili.

Sababu ya butwaa nilikosa cha kusaidia ila wakaja wadau hapo wakasema ni kifafa huyo, jamaa keshameza ulimi n.k yaani kuna mzee akamgusa akasema huyo tayari kafa.

Basi ikawa ndio hata hatujui nini kifanyike

Ila ndio ikawa tayari amekufa. Nikaahirisha na safari nikarudi zangu nyumbani.

Umewahi shuhudia mtu kufa ghafla?
Nilikua na msela wangu tumetoka mkoa mwana anadrive me niko kushoto nimeshika glass nakula k.vant mwana anakula maji baridi full mastori full happy,ilikua km kilometres 20 tufike sijui hata tuligongana vipi na Costa,napata fahamu nipo nje napepewa mwana wanamtoa kwenye ndinga kabanwa.Kwakifupi mchizi ndo hivyo alikua tayari katembea(rip maniga).Me niliumia kidogo sana ila gari tuliuza chuma chakavu.
 
Nilikua na msela wangu tumetoka mkoa mwana anadrive me niko kushoto nimeshika glass nakula k.vant mwana anakula maji baridi full mastori full happy,ilikua km kilometres 20 tufike sijui hata tuligongana vipi na Costa,napata fahamu nipo nje napepewa mwana wanamtoa kwenye ndinga kabanwa.Kwakifupi mchizi ndo hivyo alikua tayari katembea(rip maniga).Me niliumia kidogo sana ila gari tuliuza chuma chakavu.
K vant Ina maajabu yake ktk medani sawa na maji ya upako... Oooh!
 
Back
Top Bottom