Kuna msela alifiwa na mke wa mtu chumbani kwake.umewahi fiwa na demu gheto ?
Mke alimuaga mume anakwenda kijijini lakini mke kaenda jirani tu kwa msela. Hawajakaa sawa malaria, hawajakaa sawa mama Kavuta.
Jamani Tanga Kuna watu Wana busara, ukiambiwa hiyo Soo Kuna mgosi alikwenda kumtuliza mume wa MTU mpaka maisha yanaendelea!!! Ingekuwa huko Bunda au Geita pangechimbika.