Kuna msela alifiwa na mke wa mtu chumbani kwake.umewahi fiwa na demu gheto ?
Huyo ni mwanakamati wa Mshana Jr ,hapo ulibaki mfano wa mwili tuUmenikumbusha jambo moja lililotokea nikiwa na demu geto, ndani ya sekunde 5 nishapagawa.
Mwezi wa 7 nilikuwa na demu geto, baada ya kunyanduana tukawa tumelala. Sasa USIKU wa manane nilivyoshtuka, kumwangalia demu katulia tiiiii. Kumgusa kwenye mbavu akawa kama hapumui hivi! Oyaa, nilidata, nikajua ashavuta.
Basi nikamtikisa kwa nguvu sana ndo akashtuka anauliza NINI????
Nilivuta pumzi ndefu halafu nikalala Hata sikumsemesha
wewe ungefungwa kimasihara ohoo😂😂Umenikumbusha jambo moja lililotokea nikiwa na demu geto, ndani ya sekunde 5 nishapagawa.
Mwezi wa 7 nilikuwa na demu geto, baada ya kunyanduana tukawa tumelala. Sasa USIKU wa manane nilivyoshtuka, kumwangalia demu katulia tiiiii. Kumgusa kwenye mbavu akawa kama hapumui hivi! Oyaa, nilidata, nikajua ashavuta.
Basi nikamtikisa kwa nguvu sana ndo akashtuka anauliza NINI????
Nilivuta pumzi ndefu halafu nikalala Hata sikumsemesha
Hahaha mwamba naona umemind kichizi😂😂🤣🤣Ulikuwa boya kwa nini usifumbue macho kuona anasemaje mtu mpaka anakugusa unajikausha tu unajifanya una upako, kilaza kabisa ww .
Kama nakuona vile, swali la kwanza ulikua unajiuliza JELA WATU WANAISHI VIPI[emoji1783][emoji1783][emoji1783]Umenikumbusha jambo moja lililotokea nikiwa na demu geto, ndani ya sekunde 5 nishapagawa.
Mwezi wa 7 nilikuwa na demu geto, baada ya kunyanduana tukawa tumelala. Sasa USIKU wa manane nilivyoshtuka, kumwangalia demu katulia tiiiii. Kumgusa kwenye mbavu akawa kama hapumui hivi! Oyaa, nilidata, nikajua ashavuta.
Basi nikamtikisa kwa nguvu sana ndo akashtuka anauliza NINI????
Nilivuta pumzi ndefu halafu nikalala Hata sikumsemesha
Ila wanaume huwa tunajirisk sana aisee!Kama nakuona vile, swali la kwanza ulikua unajiuliza JELA WATU WANAISHI VIPI[emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Mbaya zaidi mnajuana wawili tu hata kwao hawakujuiIla wanaume huwa tunajirisk sana aisee!
Fikiria mtu unalala na mtoto wa mtu kwako pengine wiki nzima na hushituki tu kwamba likitokea lolote itakuwaje?
Nyege mbaya sana
Kama nakuona vile, swali la kwanza ulikua unajiuliza JELA WATU WANAISHI VIPI[emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Lewa upoteze mawazoHamtaki leo watu walewe
Mmenitonesha kidonda mzee alidie nkiwa namuona na Sina la kufanya
Pole sana, Mungu akupe faraja kuu na akufute machozi na maumivu yote.Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho.... Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Daaa😭😭🙏Mwezi wa tano mwaka huu mtoto wangu alikuwa kalazwa KCMC kwa shida ya moyo. Saa 7 usiku daktari akanipigia simu kuwa hali ya mtoto imebadilika ghafla. Niliwasha gari na kuelekea hospitali haraka na kufika tu dogo akanishika mkono akakata roho.... Natamani sana nisingepigiwa ile simu. Mzazi hapaswi kuzika mtoto bali mtoto ndio amzike mzazi
Kwa wenzetu mtu akifa ni hasara kubwa sana lkn kwetu ukiwa hai ni kama hasara kwa taifa, fikiria kazi ni za kugombania, maji, dawa, elimu, usafiri kila kitu ni ugonvi ili ukipate.Huduma ya kwanza kuokoa maisha inapaswa kuwa elimu muhimu itolewe kuanzia shule ya msingi kama wanavyofanya wenzetu ughaibuni
Umeme wa mgao🙄😔🤦Kwa wenzetu mtu akifa ni hasara kubwa sana lkn kwetu ukiwa hai ni kama hasara kwa taifa, fikiria kazi ni za kugombania, maji, dawa, elimu, usafiri kila kitu ni ugonvi ili ukipate.