Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 297
- 1,687
- Thread starter
-
- #121
hapaaanaaEbola hiyo
aminaTuwaombee waliotangulia Allah awape pumziko Jema na awasamehe Dhambi zao
Damu mdomonihapaaanaa
Dah nimemuwazia Binti yangu kipenziNahisi jambo litakalokuja kuniumiza ni kuona mwanangu anatangulia kabla yangu! Naomba sana nije niwahi mimi, wanizike wanangu!
Asante kijanaUzi wa kiduwanzi mliokoment wote stupid
Mimi nitawaeleza wanangu, waishi vema, maana sihitaji atangulie mwangu kabla yangu! Labda apange Mungu.Dah nimemuwazia Binti yangu kipenzi
Pole sana mdogo wangu.Usichukie kukuita mdogo wangu maana ungekuwa na umri mkubwa ungekuwa umeshakutana na mengi sana.Mfano baba yako unamuuguza anakufa mbele yako wakati mmeongea naye dakika 20 kabla.Leo nimeona mtu akifa kama utani na mbele yangu.
Wakati nikivuka barabara ghafla mtu mwanaume aliyekuwa mbele yangu akaanguka kama kapigwa shoti ya umeme.
Akajibamiza vibaya sana chini na pote pakaanza kutapakaa damu, inatoka kila eneo la wazi la mwili.
Sababu ya butwaa nilikosa cha kusaidia ila wakaja wadau hapo wakasema ni kifafa huyo, jamaa keshameza ulimi n.k yaani kuna mzee akamgusa akasema huyo tayari kafa.
Basi ikawa ndio hata hatujui nini kifanyike
Ila ndio ikawa tayari amekufa. Nikaahirisha na safari nikarudi zangu nyumbani.
Umewahi shuhudia mtu kufa ghafla?
Hii ilitokea mwaka 1984 Morogoro wakati ule gari zinasafiri usiku.Dereva alipita sehemu kumbe kuna kijiko au teseme grader la kuchimba barabara kimeegeshwa meno yamegukia barabarani basi abiri wote walikuwa upande wa kushoto walicharangwa kama wembe.Mimi naye sikai dirishani, huwa nakaa siti ya mwisho kati kati
Mkuu, inawezekana unachokisema ni sahihi ila tatizo hizo first aid zipo nyingi saaaana na ni rahisi mtu kuzisahau baada ya muda fulani kupita. Vilevile unakuta mtu tangu afundishwe hajawahi kuzifanyia mazoezi pahala popote.Watu wengi wanakufa kwa sababu ya kukosa huduma ya kwanza.. Kuna uwezekano huyo jamaa angepata mtoa huduma wa kwanza angeishi
Watu wengi hawajui kufanya ABC's (Airways, breathing and circulation )na Cadio pulmonary resuscitation (CPR) pindi kunapotokea dharura za kiafya mitaani
Kwa wenzetu FIRST AID Ni kitu kinachofundwa mashuleni tangu chekechea
Unawaonaje na wakati umekufa?Sijawahi na naomba isinitokee kabisa. Hivi ikifika hii hatua mtu unakuwa unawaona au vipi?
Can't wait to find out when I die
View attachment 2379823
Wanangu watatu walikufa siku za weekend baada ya kutoka kula bata wakidriveJaman wikiend ndyo inaanza tunaanza kutishana 🤕
Daah hatari sanaa....Kuna dogo alikuwa anavuka barabara....lilikuwa kundi la watoto chokoraa...wenzie wakasita kidogo Yeye akawa ashaingia barabarani tayari....alipigwa na gari IT alirushwa juu mkojo ukawa unamiminika anavyoshuka kutua chini...yaan alivyotua ni kama limetupwa furushi...dogo alishakufa kitambo maana alipasuka kichwa....nilikuwa kwenye bodaboda nishuka na kuanza kurudi Kwa mguu nimeshika viatu mkononi[emoji24][emoji120]
Was very badDaah hatari sanaa....
CPR hizi naonaga ni kushuhudia kifo tu mkuu.. Kuna mgonjwa alikuwa na vidonda vya tumbo mwana tu alitoka kweye surgery akaja ICU aisee hakuchuki hata dak 2 nkaona anaanz akugeuza macho katika vifo vyote kile sitakisahau kifo kinaumiza sana[emoji24][emoji24][emoji24]Wafanyakazi wa afya tupewenl ulinzi maalumu maana daily ndugu zenu tunakuwa nao katika nyakati zao za mwisho hapa duniani..
Sema kuna mambo tumeyazoea lakini kiuhalisia ni mazito kwa mtu wa kawaida, mfano kutoa taarifa ya kifo kwa ndugu tunaonaga ni kawaida lakini ni jambo zito sana kwa wanaopata hizo taarifa.
Aisee achaeni haya maishaa tupo hai kwa neema.Hii ilitokea mwaka 1984 Morogoro wakati ule gari zinasafiri usiku.Dereva alipita sehemu kumbe kuna kijiko au teseme grader la kuchimba barabara kimeegeshwa meno yamegukia barabarani basi abiri wote walikuwa upande wa kushoto walicharangwa kama wembe.
Situ nzuri za kukaa dirishani ni kwenye train na ndege tu gari hapana aise.
MKUU KULIKUWA NA HAJA GANI YA KUWEKA PICHA YA MAKABURI?