Pole sana mkuu, ukiwa health work inabidi usiwe na sympathy kabisa maana unaweza ukakimbia clinical area, utaonea huruma wangapi? Utalilia wangapi?CPR hizi naonaga ni kushuhudia kifo tu mkuu.. Kuna mgonjwa alikuwa na vidonda vya tumbo mwana tu alitoka kweye surgery akaja ICU aisee hakuchuki hata dak 2 nkaona anaanz akugeuza macho katika vifo vyote kile sitakisahau kifo kinaumiza sana[emoji24][emoji24][emoji24]
Duuh angekua amekunywa sumu ungeozea jela mkuuKuna mama niliwahi kumpa lifti ilikua maeneo ya njia ya kahama geita ile njia ya vumbi watu wengi wanaifahamu.
Kutokana na mazingira niliyomkuta yalikua magum nilijua kwa muda ule hawez kupata msaada ilikua ni jion
Nilivyombeba niligundua ni mtu anae amini sana ushirikina alikua ananisimulia ni jinsi gan ndugu zake wamemloga na watoto wake huwa wanakufa kabla ya kufikisha miaka 10, hata yeye nilivyomuona alikua ni mgonjwa kakonda sana hivyo akasema hata yeye pia kalogwa na ndugu zake, baada ya safari kidogo aliacha kunisimulia akajifunika kanga yake usoni Basi mi nikajua kalala
Tulivyofika sehem natakiwa kumshusha namuamsha haamki, kila nikimuamsha haamki ghafla nikaona gari ya polisi nikawasimamisha wakaniambia tuongozane had hospita kufikisha hospital tu nikaambiwa kashakufa huyu, ikabd uchunguz uanze kama amelishwa sumu au nn bahat nzuri iligundulika kafa na maradhi ingekua vinginevyo ningewajibishwa hata ndugu zake wangeniiona ni Mimi ndo nimefanya
Noma sana aisee...! Kubreak newz ndo pagumuu nyie unatoka kwenda kuwachana ndugu ukiwaangalia usonii yani unatamani isiwe kweli ila ndo hivyooo...Pole sana mkuu, ukiwa health work inabidi usiwe na sympathy kabisa maana unaweza ukakimbia clinical area, utaonea huruma wangapi? Utalilia wangapi?
Hii ipo sana. Maana ikigundulika kuna mtu yupo hai mochwari dr kazi hana.Afu nasikia kuna watu wakipelekwa mochwari wanafufuka wahudumu wanawamalizia huko huko yaani nyie!!!
Dah experience mbaya kweli yani, huwa nahofu sana nikiwa nasafiri na basi. Akili yangu imekuwa affected kiasi kwamba huwa sitakagi kukaa upande tofauti na wa dereva tena siti za katikati kuelekea mwishoNakumbuka tarehe 12 Jan 2011 siku ya Mapinduzi, Bus la Sumry kutoka Dar kwenda Iringa tulivyopata ajali kugongana uso kwa uso na Lori la mizigo mbele ya mikumi ukiwa unaanza kuitafuta Kitonga..11 au 13 people walipoteza maisha siku ile..Hii safari ni kama ilikuwa ina ishara ila kiubinadamu ni ngumu kujua what kingekuja mbele yetu..Maana Ubungo pale watu hadi dakika za mwisho Dereva anataka kuondoa gari wasindikizaji zaidi ya 10 wanaagana na wapendwa wao hadi Dereva akagomba kiwa imetosha sasa wasiosafiri washuke ili tuanze safari.
Ila ninachokikumbuka zaidi ni Mama aliyekaa pembeni yangu maana toka mwanzo wa Safari alikuwa kama hayupo sawa..Salamu alikuwa anaitikia kwa uzito..Soda na Pipi alikataa vyote hakuchukua...Nilitamani nihame kabisa siti maana nilikuwa naona kama ana kisirani hivii..Mara nyingi huwaga nalala sana kwenye gari so tulivyofika tuu Moro Mjini nikalala zangu nikaachana nae...Kufika kwenye eneo la tukio Dereva wa lori alisinzia inavyosemekana kwenye kona ya mlima akakatia kona upande wetu so dereva kuona hivyo akakwepesha na kumpa ubavu kuanzia siti ya 3 kutoka kwake..Hivyo basi Lile lori likaanza kupiga siti hizo hadi mwisho na gari zote zikapinduka finally..
Kwa kuwa nilikuwa usingizini kushtuka sikuelewa kilichotokea haswaa nikakuta tuu abiria wenzangu kama wamelala hivii ila baada ya muda akili ikanirudia kuwa wameshafariki baada ya kuona ubongo,utumbo na vitu vingine..Kumbe ndiyo walikuwa washafariki including Mama wa pembeni yangu..Good enough niliumia lakini si sana compared to wengine..Niliona watu wawili wakija kufia nje kutokana na kutokwa sana na damu na msaada kuchelewa..Pia I still remember kuna Mzee alikuwa anamlilia Mke wake walikuwa wanapiga story ila ghafla tuu akawa hayupo nae tena.
Very bad expirience ambayo hadi leo imenifanya niwe na phobia ya kukaa dirishani kwenye safari ndefu..hata unipe milioni sikai siti ya dirishani..
Mie huniweki siti tofauti na upande wa dereva. Yani niko radhi nipande basi jengine ila sio kunipa siti ya upande wa konda ule. Mda wowote unageuzwa scape goat.aiseee ajali zisikie tu kwa jirani
ingawa wabongo wengi tunapenda siti ya dirishani upande wa dereva
Yeap yeap[emoji3059]My next home[emoji4][emoji4]
Style ya Jimmy McMelle ile noma kweliWanangu watatu walikufa siku za weekend baada ya kutoka kula bata wakidrive
Nikitafakari vifo vyao huwa nayaelewa sana maneno dont drink and drive
Style ya Jimmy McMelle ile nomaWanangu watatu walikufa siku za weekend baada ya kutoka kula bata wakidrive
Nikitafakari vifo vyao huwa nayaelewa sana maneno dont drink and drive
Sijui umeza nini brother?Hatari sana.
Ombea Mungu usifiwe na demu ghetto, bora hotelini unaweza kutoka nduki
Yeap the same to me japo katofauti kangu kidogo naamini roho inakua inajua kabisa huo ni mwili wake hipo hapo kulinda mazishi ya mwili wake[emoji7]I believe when we die the soul leave our bodies, therefore, the possibility of seeing such a thing does not arise, and if it does, then it will definitely not be in such a dimension, maybe utaweza kufika msibani kwako na kuona maiti yako ukiw kama mtu mwingine anavofika, hutokuwa ndani ya mwili bali hewani.
Naam.Huduma ya kwanza kuokoa maisha inapaswa kuwa elimu muhimu itolewe kuanzia shule ya msingi kama wanavyofanya wenzetu ughaibuni
Kama kifo cha Jimmy na hao wana ilikuwa night kali wanatoka kula bataStyle ya Jimmy McMelle ile noma
Kwa akili za kawaida ni ngumu mno mume kupokea hili jambo usikute hata kuna nguvu zilitumika kumfanya mwenye mke awe mwelewa[emoji16]Kuna msela alifiwa na mke wa mtu chumbani kwake.
Mke alimuaga mume anakwenda kijijini lakini mke kaenda jirani tu kwa msela. Hawajakaa sawa malaria, hawajakaa sawa mama Kavuta.
Jamani Tanga Kuna watu Wana busara, ukiambiwa hiyo Soo Kuna mgosi alikwenda kumtuliza mume wa MTU mpaka maisha yanaendelea!!! Ingekuwa huko Bunda au Geita pangechimbika.
Gari na pombe ni shida. Mungu atusaidie tuKama kifo cha Jimmy na hao wana ilikuwa night kali wanatoka kula bata
Mmoja pale mataa ya Lugalo njiapanda ya kwenda Kawe (alitoka Dizzy pub anarudi Kawe Beach)
Mwingine mataa ya Africana njiapanda ya kwenda White sand (mwana alikuwa anahama kiwanja anatoka Last Point Salasala anaenda Juliana Mbezi Beach)
Mwanangu mwingine mataa ya fire (huyu kitambo kidogo alikuwa anatoka Billicanas)
[emoji28][emoji1787][emoji23]Oyaa mods futa uzi huu mambo ya kufa kimasikhara sisi hatutaki apa. Uzi Ufutwe
Sanaa hilo ndio uwa la kwanza la pili ni nikimbilie wapi[emoji23][emoji23][emoji23]Kama nakuona vile, swali la kwanza ulikua unajiuliza JELA WATU WANAISHI VIPI[emoji1783][emoji1783][emoji1783]