Umewahi shuhudia mtu akifa mbele yako ghafla na hukuamini?

Pole sana mkuu, ukiwa health work inabidi usiwe na sympathy kabisa maana unaweza ukakimbia clinical area, utaonea huruma wangapi? Utalilia wangapi?
 
Duuh angekua amekunywa sumu ungeozea jela mkuu
 
Dah experience mbaya kweli yani, huwa nahofu sana nikiwa nasafiri na basi. Akili yangu imekuwa affected kiasi kwamba huwa sitakagi kukaa upande tofauti na wa dereva tena siti za katikati kuelekea mwisho
 
Yeap the same to me japo katofauti kangu kidogo naamini roho inakua inajua kabisa huo ni mwili wake hipo hapo kulinda mazishi ya mwili wake[emoji7]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mama yangu mzazi, ilikuwa tarehe 1/5/2020.

Majira ya saa tatu usiku, nimekaa na mama tunazungumza huku tukiwa tunatazamana machoni. Hapohapo mama alifumba macho na hakufumbuwa tena.

Nilipatwa na mshangao usio wa kawaida, RIP mama
 
Style ya Jimmy McMelle ile noma
Kama kifo cha Jimmy na hao wana ilikuwa night kali wanatoka kula bata

Mmoja pale mataa ya Lugalo njiapanda ya kwenda Kawe (alitoka Dizzy pub anarudi Kawe Beach)

Mwingine mataa ya Africana njiapanda ya kwenda White sand (mwana alikuwa anahama kiwanja anatoka Last Point Salasala anaenda Juliana Mbezi Beach)

Mwanangu mwingine mataa ya fire (huyu kitambo kidogo alikuwa anatoka Billicanas)
 
Kwa akili za kawaida ni ngumu mno mume kupokea hili jambo usikute hata kuna nguvu zilitumika kumfanya mwenye mke awe mwelewa[emoji16]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Gari na pombe ni shida. Mungu atusaidie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…