Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kopesha mtu kiasi ambacho huwezi kuumia ata akiingia mitini 🤣🤣🤣🤣Mtu anakuja kwako analia, kilio cha msibani. Anapiga magoti umkopeshe pesa. Unamkopesha kwa moyo safi kabisa. Anaondoka kwa shangwe utafikiri bwana arusi kaoa. Muda mliopatana wa kulipa deni ukifika, ghafla anapatwa na "ugonjwa wa kusahau kulipa madeni."
Ugonjwa usiotibiwa hospitali, ambao dawa yake ni "kidonge" kimoja tu - kulipa deni.😂 Cha ajabu ni kwamba, anasahau madeni tu, lakini nyama choma hasahau kula. Hasahau kuhonga wanawake. Hasahau “kilauri”
Ukimkumbusha deni, anakutazama kama vile umemkosea adabu; anashika kifua utafikiri ana shambulio la moyo. Anaanza hotuba ya maisha magumu, yenye maudhui kuliko mihadhara ya chuo kikuu.
Wakopaji wengine wakimuona kwa mbali aliyewakopesha, wanabadilisha “ruti.” Wengine wanabadili namba zao za simu. Mkopaji anayejiona mjanja zaidi kuliko sungura, atakuambia yuko safarini, akishuka atakupigia! Utasubiri wee, simu hupigiwi mpaka jogoo anawika! Asubuhi ukimuuliza vipi kulikoni, anakujibu: "Ooh samahani nilisahau." Wanaojifanya wamezaliwa na “simu janja,” wao “wanakupiga tofali” kabisa.
Biblia inasema wazi: "Asiye haki hukopa wala halipi" (Zaburi 37:21). I dare to talk openly:🗣️ ukikopa benki, ukikopa kwenye taasisi za kifedha, ukikopa kwa mtu, usiwe miongoni mwa wasio haki – lipa deni. Vinginevyo moto mkali wa jehanamu unakuhusu.😆
MATAYO SABA SIJUWI MSTARI WA NGAPI VILE.Mt 5:3-12
Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania ndio nchi pekee mdaiwa huwa mkali kuliko anaedai.
Sijuwi, kwani walisema tuombe nini!Ombeni nini, mkopo?
Mkuu sio usahaulifu, watu wengi Kwa sasa ni matapeli wanaokuja Kwa mwamvuli wa mkopo, lkn kiuhalisia anakutapeli.Mtu anakuja kwako analia, kilio cha msibani. Anapiga magoti umkopeshe pesa. Unamkopesha kwa moyo safi kabisa. Anaondoka kwa shangwe utafikiri bwana arusi kaoa. Muda mliopatana wa kulipa deni ukifika, ghafla anapatwa na "ugonjwa wa kusahau kulipa madeni."
Ugonjwa usiotibiwa hospitali, ambao dawa yake ni "kidonge" kimoja tu - kulipa deni.😂 Cha ajabu ni kwamba, anasahau madeni tu, lakini nyama choma hasahau kula. Hasahau kuhonga wanawake. Hasahau “kilauri”
Ukimkumbusha deni, anakutazama kama vile umemkosea adabu; anashika kifua utafikiri ana shambulio la moyo. Anaanza hotuba ya maisha magumu, yenye maudhui kuliko mihadhara ya chuo kikuu.
Wakopaji wengine wakimuona kwa mbali aliyewakopesha, wanabadilisha “ruti.” Wengine wanabadili namba zao za simu. Mkopaji anayejiona mjanja zaidi kuliko sungura, atakuambia yuko safarini, akishuka atakupigia! Utasubiri wee, simu hupigiwi mpaka jogoo anawika! Asubuhi ukimuuliza vipi kulikoni, anakujibu: "Ooh samahani nilisahau." Wanaojifanya wamezaliwa na “simu janja,” wao “wanakupiga tofali” kabisa.
Biblia inasema wazi: "Asiye haki hukopa wala halipi" (Zaburi 37:21). I dare to talk openly:🗣️ ukikopa benki, ukikopa kwenye taasisi za kifedha, ukikopa kwa mtu, usiwe miongoni mwa wasio haki – lipa deni. Vinginevyo moto mkali wa jehanamu unakuhusu.😆
Dah! Watu hatuombeani magonjwa, lakini mimi naomba huu ugonjwa nami unipate!Mtu anakuja kwako analia, kilio cha msibani. Anapiga magoti umkopeshe pesa. Unamkopesha kwa moyo safi kabisa. Anaondoka kwa shangwe utafikiri bwana arusi kaoa. Muda mliopatana wa kulipa deni ukifika, ghafla anapatwa na "ugonjwa wa kusahau kulipa madeni."
Ugonjwa usiotibiwa hospitali, ambao dawa yake ni "kidonge" kimoja tu - kulipa deni.😂 Cha ajabu ni kwamba, anasahau madeni tu, lakini nyama choma hasahau kula. Hasahau kuhonga wanawake. Hasahau “kilauri”
Ukimkumbusha deni, anakutazama kama vile umemkosea adabu; anashika kifua utafikiri ana shambulio la moyo. Anaanza hotuba ya maisha magumu, yenye maudhui kuliko mihadhara ya chuo kikuu.
Wakopaji wengine wakimuona kwa mbali aliyewakopesha, wanabadilisha “ruti.” Wengine wanabadili namba zao za simu. Mkopaji anayejiona mjanja zaidi kuliko sungura, atakuambia yuko safarini, akishuka atakupigia! Utasubiri wee, simu hupigiwi mpaka jogoo anawika! Asubuhi ukimuuliza vipi kulikoni, anakujibu: "Ooh samahani nilisahau." Wanaojifanya wamezaliwa na “simu janja,” wao “wanakupiga tofali” kabisa.
Biblia inasema wazi: "Asiye haki hukopa wala halipi" (Zaburi 37:21). I dare to talk openly:🗣️ ukikopa benki, ukikopa kwenye taasisi za kifedha, ukikopa kwa mtu, usiwe miongoni mwa wasio haki – lipa deni. Vinginevyo moto mkali wa jehanamu unakuhusu.😆