Umezuka Ugonjwa wa Kusahau Kulipa Madeni!

Kopesha mtu kiasi ambacho huwezi kuumia ata akiingia mitini 🤣🤣🤣🤣
 
Hichi kirusi cha alaghai hususa katika mambo ya fedha ni hatari sana hapa Tanzania na hasa watu wanaotoka nyanda za juu kusini sio mchungaji, sio muinjilisti ,sio múumini wakawaida tena unaweza diriki kusema bora na mtu asiye sali maana unaweza chukua tahadhari lakini hawa wanaojidai wanamtumikia muumba alafu bahati mbaya zaidi muwe mnasali kanisa moja anajua huwezi mfanya chochote katika vyombo vya kisheria ,dawa kama mtu anataka mkopeshe mkatalie mtaendelea kupendana na kuheshimiana.
 
NJIA SALAMA, NI KUACHA KUMKOPESHA MTU HATA KAMA ATAKUJA NA SBB ZA KUTIA SIMANZI NAMNA GANI.
TENA NJIA NZURI UKISHAONA KUNA DALILI ZA MTU KUKOPA, ANZA KUMKOPA WEWE.

AU KAMA ANAOMBA KUKOPA 500,000, MPE 50,000 YA KUMSAIDIA, URAFIKI, UNDUGU WENU UENDELEE. KULIKO KUJA KUJAZA HASIRA KIFUANI KWA DADA DANA ZA KILA SIKU
 
Mkuu sio usahaulifu, watu wengi Kwa sasa ni matapeli wanaokuja Kwa mwamvuli wa mkopo, lkn kiuhalisia anakutapeli.
 
Dah! Watu hatuombeani magonjwa, lakini mimi naomba huu ugonjwa nami unipate!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…