Umiliki wa ardhi ya vijiji

Umiliki wa ardhi ya vijiji

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Wanasheria naomba ufafanuzi. Wanavijiji walioambiwa wahame vijiji vyao baada ya kushi kwenye vijiji hivyo tangu 1961 (over 53 yrs), sheria inawatetea vipi? Haki zao ni zipi. hata kama walivamia some 53 yrs back, what does the law say?
 
Wanasheria naomba ufafanuzi. Wanavijiji walioambiwa wahame vijiji vyao baada ya kushi kwenye vijiji hivyo tangu 1961 (over 53 yrs), sheria inawatetea vipi? Haki zao ni zipi. hata kama walivamia some 53 yrs back, what does the law say?


Wataalamu naona hamtaki kuwasaidia wanakijiji jamani kwanini mnawapotezea .Ebu njoni huku mtoe msaada !
 
Wataalamu naona hamtaki kuwasaidia wanakijiji jamani kwanini mnawapotezea .Ebu njoni huku mtoe msaada !

Kuna wanasheria kibao humu, they normally are reluctant to help/answer/educate! Money money money money!!!!!!!!!
 
Mkuu CHUAKACHARA Tunaweza kusaidia kwa namna moja au nyingine hata kama hatuna elimu kwenye maeneo hayo; Ebu pitia The Village land Act 1999 na hasa Section 15.Hapa chini ni kiapande amabacho kwa kiasi inaweza kujibu hoja yako!

Inasomeka hivi;
15(1)An alocation of land made to a person or a group of person residing in or reguired to move to and reside in a village at any time between the first day of January 1970 and thirty first day of December 1977,whether made under and in pursuance of a law or contrary to or in disregard of any law,is hereby confirmed to be and to have always been a valid allocation capable of and in law giving rise to rights and obligation in the party to who the allocation wa made and estinguishing any rights and obligations vested in any person under any law which may have exsisted in that land prior to that allocation.





 
Last edited by a moderator:
Mkuu CHUAKACHARA Tunaweza kusaidia kwa namna moja au nyingine hata kama hatuna elimu kwenye maeneo hayo; Ebu pitia The Village land Act 1999 na hasa Section 15.Hapa chini ni kiapande amabacho kwa kiasi inaweza kujibu hoja yako!

Inasomeka hivi;







Asante ngoja niisome hii act to internalise it.
 
kuna kitu kinaitwa adverse possesion,hii inampa mtu right to the land ikiwa amekaa kwenye ardhi zaidi ya miaka 12.....lakini pia ukumbuke ardhi yote ya Tanzania ni mali ya umma na kwa manufaa ya umma watu wanaweza ambiwa wapishe na kulipwa fidia stahiki na kwa wakati!!!!!!!kwa msaada zaidi ni PM
 
Back
Top Bottom