Umma ujiandae. Lengai Ole Sabaya anaenda kuwa huru au kutumikia kifungo laini

Umma ujiandae. Lengai Ole Sabaya anaenda kuwa huru au kutumikia kifungo laini

Usalama wa Lengai ni kifungo kirefu na kazi ngumu ili aendelee kulindwa, akichiwa huru huku raia wana hasira naye…. watamlawiti kwa zamu.
 
Kama ambavyo

Mashehe wa uamsho walivyotolewa.

Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).

Mdude kuachiwa(kushinda kesi).

Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.

Singasinga.

Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.

Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.
Alisha futwa uyo ata akiachiwa leo , zigo lake atatembea nalo MPAKA kaburini
 
Alipe bili za Hotel alizokuwa halipi kwanza.Mwizi mkubwa analala kwenye hotel anaagiza anavyotaka alipii huduma.Atulipe kwanza kama anataka vya bure angekuja tumwoe otherwise ajenge yakwake.Mwanamme mzima analala.anakula hotelini halipi.Anatuaibisha wamasai wote umri wake uko porini unaua simba.Akicheze Mungu mkubwa ,leo.ungejua Makonda angenyamaza hivyo
 
Kama ambavyo

Mashehe wa uamsho walivyotolewa.

Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).

Mdude kuachiwa(kushinda kesi).

Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.

Singasinga.

Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.

Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.
huyo amelaaniwa na kina Mama hawezi toka salama bora afie huko King'ori Gerezani
damu za watu alizimwaga sana
 
Maisha ni amani!
Unaweza kushinda kesi ama kuachiwa lakini wananchi wasikuachie.
Sabaya achague kupewa hukumu na serikali ama wananchi!
Wananchi si wajinga!
 
Kama ambavyo

Mashehe wa uamsho walivyotolewa.

Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).

Mdude kuachiwa(kushinda kesi).

Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.

Singasinga.

Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.

Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.
Imagine Shahidi ambaye ndio wa muhimu ameanza kutoonekana Mahakamani then hapo lazima wajue kesi itapigwa mzee wa kuuza unga aachiwe kwa default judgment for a reason of kutokuwepo ushahidi wenye uzito kumtia hatiani.

Wao badala ya kusikiliza tunaoshinda mahakamani au wataalamu ili wafanyaje jamaa awekwe ndani wenyewe wapo busy kutukana tu.

What will follow baada ya Sabaya kuachiwa huru kama huyo Nyagali sijui ni kelele za CHADEMA mitandaoni. Nimekuwa mfuasi wa siasa za upinzani Ila matusi ya humu wacha tu iwe tuongee ukweli, hakuna upinzani utakaochukua hii nchi kwa upuuzi wa vijana wetu.

Mtu ukitoa independent opinion unatukanwa tu, naanza kuelewa sasa. Better the devil you know than the angel you don't know.

Wacha tutafute fursa tu, humu tutaishia kudharauliana tu. Kila mtu ashinde Vita yake.
 
Akitoka ataomba kustaafu kwa hiyari
Then analipwa mafao yake yote na anakuwa Hana record ya criminal. Wao waendelee kutukana tu. Badala ya kukaa kuuliza wanatukana as if kila mtu ni CCM
 
Kama ambavyo

Mashehe wa uamsho walivyotolewa.

Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).

Mdude kuachiwa(kushinda kesi).

Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.

Singasinga.

Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.

Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata wabakaji na walawiti
giphy.gif
 
Maisha ni amani!
Unaweza kushinda kesi ama kuachiwa lakini wananchi wasikuachie.
Sabaya achague kupewa hukumu na serikali ama wananchi!
Wananchi si wajinga!
Wananchi gani mnao zungumzia hapa Hai?. Kweli ukirudia maneno ya uwongo mara nyingi watu huaamini ni kweli.
 
Watu ambao hawajawahi kwenda mahakamani akili Hakuna kabisa! Mashahidi kutokuja mahakaman mara moja mpaka hata 5 ni kawaida sana, na hii ni kesi moja!

Huyo Hakimu wa kesi hii Mmama anayeitwa Mshasha, ni hakimu very straight, namfaham, na anajielewa sana, ni mapema sana kuwaza Kama hii kesi itakuwa rahisi!

Kwa ubaya aliofanya Sabaya, nawaambieni bado ana mda sana magereza na kifungo kisichopungua miaka 30 kama mnabisha ngojeni muone!
Sabaya apewe tuzo kuyafanyizia mamtu majinga kama haya ya CHADEMA
 
Sabaya apewe tuzo kuyafanyizia mamtu majinga kama haya ya CHADEMA
Sina uhakika na ukweli wa tuhuma za Sabaya Ila kwa sasa naelewa kabisa, it was a necessary evil kuhakikisha wahuni wasipate umaarufu.

Tulipotea kwa Magu Ila Hawa wenzetu hata hawaeleweki, unajikuta unatupiwa mitusi tu hakuna mawazo mbadala ukishauri unaishia kutukanwa tu.

Hii sasa sio siasa ni chama cha kihuni sana na wasipokemea wafuasi wake wabadilike kwakweli sijui watafika wapi maana sioni watakapofika, hakuna jeshi au yeyote mwenye akili timamu ataona dira yao zaidi ya matusi na uhuni usio na toja kwa mustakabali wankuongoza takfa. Waendelee tu Ila namna hiyo hakuna chama hapo na Mbowe akistaafu mwakani watauana kwa kutukanana na chama kitakufa.
 
Back
Top Bottom