Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kamfukuwe.....Kama ambavyo
Mashehe wa uamsho walivyotolewa.
Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).
Mdude kuachiwa(kushinda kesi).
Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.
Singasinga.
Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.
Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.
Utajisikiaje akitolewa na akapigwa ubalozi sijui mtamuonea wapi? Mambo mengine ni kuchezea sharubu ya Simba.Nyie mtoeni muone...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe unalala akili ipumzike, kama unayo lakini.
ww umekua mahakama?Sabaya hana kosa ni uzandiki na fitima tu za watu wabobezi wa dhuluma hadi kufikiri dhuluma ndio haki. Unakuta mtu anatoa povu kuhusu sabaya. Ukimwambia aseme kosa la sabaya utasikia kampigilia mtu misumari miguuni. Ukimuuliza huyo mtu kafanya nini hadi apigiliwe misumari utaona anabaki kimya. Mengine ni wivu tu wa vijana wenzake.
KabisaUwe unalala akili ipumzike, kama unayo lakini.
Kwahiyo kumpigilia mtu misumari kwa sababu yeyote ile ni sahihi?Sabaya hana kosa ni uzandiki na fitima tu za watu wabobezi wa dhuluma hadi kufikiri dhuluma ndio haki. Unakuta mtu anatoa povu kuhusu sabaya. Ukimwambia aseme kosa la sabaya utasikia kampigilia mtu misumari miguuni. Ukimuuliza huyo mtu kafanya nini hadi apigiliwe misumari utaona anabaki kimya. Mengine ni wivu tu wa vijana wenzake.
Naona umeamua kujitoa mapema, hii reply ni ya kukubali kitakachotokea 😂 Ahahahaaaa...Huyo Ngedera aliye tesa watu huko hai hata akitoka leo inatosha kwa walio umizwa naye sumu ya maumivu imewatoka na atakuwa amejifunza kuacha uhuni
Kustaafu nini? Kwani ana utumishi gani sasahivi? Akitoka ataendelea na maisha yake siyo kustaafu.Akitoka ataomba kustaafu kwa hiyari
Waambie pia kuna sanamu ya mwamba JPM inajengwa, wakipita wataiangalia tu...Kama ambavyo
Mashehe wa uamsho walivyotolewa.
Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).
Mdude kuachiwa(kushinda kesi).
Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.
Singasinga.
Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.
Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.
Vipi adhabu ni ndogo au kubwa?Kama ambavyo
Mashehe wa uamsho walivyotolewa.
Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).
Mdude kuachiwa(kushinda kesi).
Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.
Singasinga.
Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.
Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.