Ummy Lkheir wa DW

Ummy Lkheir wa DW

Kontelo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
572
Reaction score
161
Watu wengi wanaposikiliza matangazo ya redio ya mchana kupitia idhaa ya kiswahili ya DW hupata tabu na kujiuliza mwenye sauti hiyo ya base anafananaje? Leo nimewaleteeni picha yake mumtambue
 

Attachments

  • 1410466177053.jpg
    1410466177053.jpg
    21.6 KB · Views: 1,269
Namkubali sana huyu Mama kumbe mtu mzima

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kumbe umri ushasogea sogea....yuko vizuri huyu mama, nampendaaa....
 
Watu wengi wanaposikiliza matangazo ya redio ya mchana kupitia idhaa ya kiswahili ya DW hupata tabu na kujiuliza mwenye sauti hiyo ya base anafananaje? Leo nimewaleteeni picha yake mumtambue

Anajua sana huyu bi mkubwa......
 
Nampenda anatia manjonjo akimtaja chancelor wa ujeruman Angela Michel
 
Watu wengi wanaposikiliza matangazo ya redio ya mchana kupitia idhaa ya kiswahili ya DW hupata tabu na kujiuliza mwenye sauti hiyo ya base anafananaje? Leo nimewaleteeni picha yake mumtambue
Huyu mama nilimsikia nikiwa bado sekondari miaka ya 80. Niliwahi sikia ni mtu wa Ngazija, nashangaa kusikia ni mtu wa Zanzibar tena sasa!
Ana umri gani sasa? Ni kweli ni m-Tanzania? Maana mimi awe Zanzibar au bara siyo muhimu.
Tunampenda. Binafsi nampenda maana nilipenda utangazaji wake pamoja na Ramadhan Ali tangu nikiwa teen!
 
Back
Top Bottom