Ummy Mwalimu acha kuwahadaa Watanzania wewe sio mwadilifu

Ummy anakazi ya kuposti mitandaoni eti Rais imara,huyo dhaifu ni nani?
Mbona wanamuona mama nimweoesi kama unyoya?
Mtu mzima hasifiwisifiwi bwana ikizidi ni kama kejeli
Wewe ni jinsia gani? wakike au wakiume?
Hujui kua kiongozi anaweza kua na akaunt Social media akaamua kuajiri mtu wa kuziendesha?
Umekaa kimajungu majungu tu,Fanya kazi dada acha umbea
 
Kusager , madonkey na choko mmmoja HV, njoo ushoto ndo balaa zaid
 
Wataje kwa majina hao maafisa elimu taaluma. Yule mmasai bado yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…