Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Ndugai alikuwa kama waoHii tweet imenifanya kucheka sana hasa baada ya kusoma reply zake [emoji23]...
View attachment 2071121
Mh .Ummy anafana sana na dada mmoja Mwanafunzi wa UD mwaka 1998!Alikamatwa Supermarket akiiba Chocolate!
Nani anataka kurudi jalalani?Nimemuelewa sana Mzee wa Jalalani.
Anajua fika alikua upande wa Jembe awamu iliyopita, ameshindwa kuwa mnafiki kupondea awamu iliyopita au kujikomba kwa hii, amechagua kukaa kimya. Busara na hekima ya hali ya juu.
Lakini tukija kwenye afya na fedha, tumepigwa. Hao watu hawafai...of course hata akina kigwa, Kamba na Mzee wa mtama ni wale wale tu.
Tuna safari ndefu sanaHii tweet imenifanya kucheka sana hasa baada ya kusoma reply zake [emoji23]...
View attachment 2071121
Huo sio utii mkuu. Ni kujipendekeza tu. Utii ni kama katiba ikisema usiiue na usiue huo ndio utii. Lakini hii ya kumsifia kila siku rais,kidogo tu ameinuka huyu anamsifia tu. Huo ni uoga na wengine ni kutafuta teuzi.Mkuu unadhani ikitokea tukapata katiba nyingine nzuri kwa safari kama hii unadhani kutakuwepo utii wa sheria na katiba ya nchi?.
So unadhani ikitokea tukapata katiba nyingine nzuri kwa safari kama hii unadhani itasaidia viongozi kusimama nayo kidete?.Huo sio utii mkuu. Ni kujipendekeza tu. Utii ni kama katiba ikisema usiiue na usiue huo ndio utii. Lakini hii ya kumsifia kila siku rais,kidogo tu ameinuka huyu anamsifia tu. Huo ni uoga na wengine ni kutafuta teuzi.
Ona mawaziri waliokuwa wanamsifu na kumuabudu mwendezake. Ameondoka tu wamegeuka wanamponda. Ujue walikuwa wanasifu tu kiuoga kulinda matumbo yao,lakini si kwa kile wanachokiamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Eti NdoroboNilimuheshimu sana huyu dada kumbe ndorooboo
Kwa hiyo Mkuu unaniambia Mh.alikuwa mdokozi,nakumbuka siku hiyo nilikuta varangati wadada wamedokoa chocolate...aisee ikikuwa aibu ya mwaka !Ndiye huyo huyo. Alikuwa anasoma sheria.
Kwa hiyo Mkuu unaniambia Mh.alikuwa mdokozi,nakumbuka siku hiyo nilikuta varangati wadada wamedokoa chocolate...aisee ikikuwa aibu ya mwaka !
Ingekuwa siku hizi za Smart Phone ...wangejikuta kwenye mitandao!
Yawezekana maana alimaliza nafikiri Law mwaka huo 1998.Mh .Ummy anafana sana na dada mmoja Mwanafunzi wa UD mwaka 1998!Alikamatwa Supermarket akiiba Chocolate!