Pre GE2025 Ummy Mwalimu: Bilioni kutumika kukamilsha ujenzi barabara Tanga - Pangani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Mheshimiwa Ummy Mwalimu, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi bilioni 10 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa barabara ya Tanga–Pangani.

Mheshimiwa Ummy aliyasema hayo wakati wa mahojiano maalum katika kipindi cha Amka na TK, ambapo alibainisha kuwa kukamilika kwa barabara hiyo kutakuwa na matokeo chanya kwa wakazi wa Tanga, hususan katika sekta ya utalii.

Soma pia: Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze

Your browser is not able to display this video.
 
Mama Ummy haya ya kweli? Kweli 10 bilioni zimetolewa? lifanyie kazi kwa karibu inaweza kuwa ghiliba tu ya kutafuta kura.....
 
Kanenepa sasa hivi,uwaziri wa afya sio mchezo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…