Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,269
Hili bomu Saa 100 litamtesa sana! Hiyo ndo shida ya kuwa ombaomba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili bomu Saa 100 litamtesa sana! Hiyo ndo shida ya kuwa ombaomba!
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari leo tarehe 12 Oktoba, 2023.
Akizungumza kwenye Mkutano na waandishi wa Habari ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Tanzania imepata faida kwenye ziara ya Rais nchini India ikiwemo kuingia makubaliano na baadhi ya Hospitali za huko kuanzisha huduma zao nchini.
Waziri Ummy amesema mojawapo ya Hospitali hizo ni Rainbow ambayo itashughulikia masuala yote ya watoto kuanzia siku ya 1 hadi miaka 17.
"La mwisho ambalo kwangu tunaona kama ushindi mkubwa kwenye sekta ya afya, kupata hospitali yeye wakiamka ni watoto tu, Rainbow children hospital, wao ni watoto tu. Kama ni upasuaji wa moyo ni upasuaji wa koyo wa watoto, kama ni upasuaji wa mifupa, upasuaji wa mifupa wa watoto. Yeye kazi yake akiamka, ICU yake ni ya watoto, kila kitu chake ni cha watoto, ambulance yake ni ya watoto kuanzia siku 1 mpaka miaka 17. Hayo tunaamini ni mafanikio makubwa" amesema Waziri Ummy.
Hata hivyo, amewaomba watanzania kutokutishika na jina hilo kwani halina maana mbaya.
Aidha, Serikali imepata kampuni itakayoanza kutengeneza dawa nchini ili kupunguza mzigo wa zaidi ya 80% zinazoagizwa nje ya nchi ambapo 60% kati yake huagizwa India.
Mambo haya kwa pamoja yataongeza ubora wa huduma za afya nchini pamoja na kupunguza gharama za uzalishaji na uagizaji wa madawa kutoka nje ya nchi.
Kwanini Mkuu?Lakini nafkiri wangetaftajina lingine
Kwako FaizaFoxy 😂"Hospitali ya rainbow 🌈"
Mbombo jilipo
Siku 1 hadi miaka 17Wabadili jina mara moja
Jambo jema lakini tuna kawaida ya kuanzisha vitu vipya vingi na uendelezaji wake unaishia kuwa maonesho, imagine Mloganzila ianenda kuwa hospitali ya kuongeza maumbile badala ya kujikita kwenye changamoto zinazowakabili watanzania wengi"La mwisho ambalo kwangu tunaona kama ushindi mkubwa kwenye sekta ya afya, kupata hospitali yeye wakiamka ni watoto tu, Rainbow children hospital, wao ni watoto tu. Kama ni upasuaji wa moyo ni upasuaji wa koyo wa watoto, kama ni upasuaji wa mifupa, upasuaji wa mifupa wa watoto. Yeye kazi yake akiamka, ICU yake ni ya watoto, kila kitu chake ni cha watoto, ambulance yake ni ya watoto kuanzia siku 1 mpaka miaka 17. Hayo tunaamini ni mafanikio makubwa" amesema Waziri Ummy
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari leo tarehe 12 Oktoba, 2023.
Akizungumza kwenye Mkutano na waandishi wa Habari ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Tanzania imepata faida kwenye ziara ya Rais nchini India ikiwemo kuingia makubaliano na baadhi ya Hospitali za huko kuanzisha huduma zao nchini.
Waziri Ummy amesema mojawapo ya Hospitali hizo ni Rainbow ambayo itashughulikia masuala yote ya watoto kuanzia siku ya 1 hadi miaka 17.
"La mwisho ambalo kwangu tunaona kama ushindi mkubwa kwenye sekta ya afya, kupata hospitali yeye wakiamka ni watoto tu, Rainbow children hospital, wao ni watoto tu. Kama ni upasuaji wa moyo ni upasuaji wa koyo wa watoto, kama ni upasuaji wa mifupa, upasuaji wa mifupa wa watoto. Yeye kazi yake akiamka, ICU yake ni ya watoto, kila kitu chake ni cha watoto, ambulance yake ni ya watoto kuanzia siku 1 mpaka miaka 17. Hayo tunaamini ni mafanikio makubwa" amesema Waziri Ummy.
Hata hivyo, amewaomba watanzania kutokutishika na jina hilo kwani halina maana mbaya.
Aidha, Serikali imepata kampuni itakayoanza kutengeneza dawa nchini ili kupunguza mzigo wa zaidi ya 80% zinazoagizwa nje ya nchi ambapo 60% kati yake huagizwa India.
Mambo haya kwa pamoja yataongeza ubora wa huduma za afya nchini pamoja na kupunguza gharama za uzalishaji na uagizaji wa madawa kutoka nje ya nchi.
RainbowAnasemaje?
Kwani usipoenda hospitali nani ataathirika 😀😀😀 au utakuwa unamkomoa nani..Wewe usijifanye uelewi watu wanasema nini hata hao wafiraji na wafirwaji tunajua wameumbwa na Mungu kwa hiyo bado sio sababu ya kutumia jina hilo …hakuna ulazima!
Hii hospitali itakosa wateja lazima serikali ichukue hatua!
Jina lina Tatizo gani??Wabadili jina mara moja
Unataka wizara 1 na 4 zifanyaje ujue zinafanya kaziMradi wa bomba la mafuta ulikuwa uishie jimboni kwako umefikia wapi?
Wizara nyeti zimepewa watu wa ajabu kupita kiasi.
1. Afya
2. Maliasili
4. Ulinzi
5. Bunge
6. Kazi na ajira
Hili kundi kazi yao ni kusema mama, mama
Wewe usijifanye uelewi watu wanasema nini hata hao wafiraji na wafirwaji tunajua wameumbwa na Mungu kwa hiyo bado sio sababu ya kutumia jina hilo …hakuna ulazima!
Hii hospitali itakosa wateja lazima serikali ichukue hatua!
Mnaanza ujinga wenu, muda wote mnafikiria mlikookolewa kutoka kwa wagegedaji
Watu wana piga kazi... kama una marafikiMradi wa bomba la mafuta ulikuwa uishie jimboni kwako umefikia wapi?
Wizara nyeti zimepewa watu wa ajabu kupita kiasi.
1. Afya
2. Maliasili
4. Ulinzi
5. Bunge
6. Kazi na ajira
Hili kundi kazi yao ni kusema mama, mama
Linahusishwa na ushogaJina lina Tatizo gani??
Hizi ni katika Ishara za kuwepo muumba