Ummy Mwalimu: Hospitali maalum ya watoto inayoitwa Rainbow kujengwa Tanzania

Rainbow - Ndugu wananchi mna maswali yoyote? 😀
 
Jambo jema lakini tuna kawaida ya kuanzisha vitu vipya vingi na uendelezaji wake unaishia kuwa maonesho, imagine Mloganzila ianenda kuwa hospitali ya kuongeza maumbile badala ya kujikita kwenye changamoto zinazowakabili watanzania wengi
 
Leo wameanza na Rainbow kesho likajengwa Tawi la Rainbow la wakubwa mtalalamika Kweli ? Au mimi ndo Sioni Mbali.

Ushetani unaanzaga kidog kidog mwshoe mnajikuta mmeingia Mazima.
 
Hongera Sana JMT... Hii ni Hatua kubwa sana Siemple
 
Duuu haya ndio madhara ya kuomba omba aiseee hii kali sana
 
''hata hivyo, amewaomba watanzania kutokutishika na jina hilo kwani halina maana mbaya''.
Hili nalo litapita tu
 
Wewe usijifanye uelewi watu wanasema nini hata hao wafiraji na wafirwaji tunajua wameumbwa na Mungu kwa hiyo bado sio sababu ya kutumia jina hilo …hakuna ulazima!

Hii hospitali itakosa wateja lazima serikali ichukue hatua!
Kwani usipoenda hospitali nani ataathirika 😀😀😀 au utakuwa unamkomoa nani..
Tanzania tuache mindset za Kitoto
 
Mradi wa bomba la mafuta ulikuwa uishie jimboni kwako umefikia wapi?
Wizara nyeti zimepewa watu wa ajabu kupita kiasi.
1. Afya
2. Maliasili
4. Ulinzi
5. Bunge
6. Kazi na ajira
Hili kundi kazi yao ni kusema mama, mama
Unataka wizara 1 na 4 zifanyaje ujue zinafanya kazi
 
Wewe usijifanye uelewi watu wanasema nini hata hao wafiraji na wafirwaji tunajua wameumbwa na Mungu kwa hiyo bado sio sababu ya kutumia jina hilo …hakuna ulazima!

Hii hospitali itakosa wateja lazima serikali ichukue hatua!

Sio lazima uende, wenye akili timamu and who can see through the bullshit will go. Kama wewe hiyo ndo tafsiri yako, more power to you, usiende. Wengine hata neno Mungu ni tusi kwao na hawaendi kabisa kwenye nyumba za ibada wakati wengine wanaenda kuabudu huko. To each their own.
 
Mradi wa bomba la mafuta ulikuwa uishie jimboni kwako umefikia wapi?
Wizara nyeti zimepewa watu wa ajabu kupita kiasi.
1. Afya
2. Maliasili
4. Ulinzi
5. Bunge
6. Kazi na ajira
Hili kundi kazi yao ni kusema mama, mama
Watu wana piga kazi... kama una marafiki
Igunga
Nzega
Na Tanga

Wata kupa majibu ya kinacho endelea maeneo hayo...

Bomba la mafuta lipo kazini, ni kazi kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…