Mutatis_Mutandis
Senior Member
- Sep 17, 2020
- 159
- 265
wanakubaliana %ge tu 😀Na sekta nyingine walione hili. Itolewe rukhusa kwa:
1. Polisi kutumia bunduki ktk makampuni ya ulinzi.
2. Walimu watumie madarasa kuendeshea tuition.
3. Maderva wa serikali watumie magari yao kubeba abiria jioni.
n.k
@bongoRaha