Ummy Mwalimu: Tunaenda kurekebisha sheria inayomuondoa muajiriwa wa sekta binafsi kwenye bima ya afya baada ya kustaafu

Ummy Mwalimu: Tunaenda kurekebisha sheria inayomuondoa muajiriwa wa sekta binafsi kwenye bima ya afya baada ya kustaafu

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Sheria inayomuondoa mstaafu wa sekta binafsi kwenye Bima ya Afya baada ya kustaafu itarekebishwa ili kumtendea sawa na watumishi wa sekta ya umma.

Waziri amesema hayo baada ya kuulizwa swali na Deodatus Balile, ambapo alisema kwa sasa watumishi wa sekta ya umma huendelea kuhudumiwa na bima ya afya hadi wanakufa wakati watu wa sekta binafsi huwa hawaendelei kuhudumiwa.
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Sheria inayomuondoa mstaafu wa sekta binafsi kwenye Bima ya Afya baada ya kustaafu itarekebishwa ili kumutendea sawa na watumishi wa sekta ya umma.

Waziri amesema hayo baada ya kuulizwa swali na Deodatus Balile, ambapo alisema kwa sasa watumishi wa sekta ya umma huendelea kuhudumiwa na bima ya afya hadi wanakufa wakati watu wa sekta binafsi huwa hawaendelei kuhudumiwa.
Yes hii sawa.
 
Back
Top Bottom