Umewaza kama mm,muda ni mwalim mzuriKuna kitu wananzengo tunafichwa hapa.
Waliopo jikoni wanaelewa kila kitu
Mliruhusiwa kumzika?Kuna Staff wa Muhimbili jana tumemzika na corona we dada wa Tanga wadanganye tuu
Tena wao ndio wako kwenye risk kubwa ya kuupata kirahisi kama hawajapewa vifaa stahiki vya kujikinga.Natamani kusikia hawa Wauguzi wakiongezewa posho ili angalau Morali ya kufanya kazi irudi, Maana huu ugonjwa unawakumba hadi Madaktari na wauguzi.
Wewe ni serikali kuziga wagnjwa wa krnaKuna Staff wa Muhimbili jana tumemzika na corona we dada wa Tanga wadanganye tuu
Watu 15 tuuMliruhusiwa kumzika?