Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
KUMBE WANAPIGA HELA EEE??!! AISEE LAKI 5 KILA MWEZI INGEKUWA MIMI NINGEJENGAWakati watumishi wa umma mnaambiwa msiogope, kumbukeni mishahara yenu ni laki 5 !
Nenda Amana ukasaidie basi hata kuhamisha Maiti.KUMBE WANAPIGA HELA EEE??!! AISEE LAKI 5 KILA MWEZI INGEKUWA MIMI NINGEJENGA
Serikali yetu ama kwa kujua au kwa kutokujua au kwa kushauriwa vibaya, iliwafukuza wauguzi wazoef na waliobobea na wenye ujuzi na wito na kazi ya uuguzi kwa vigezo vya kutokuwa na vyeti. Sasa wamebaki na wenye vyeti ambao wanawakimbia wagonjwa. Tusiwe tunafanya maamuzi kwa kukurupuka bila kuangalia madhara yake jamani. Na sis wananchi tuliokuwa tunashangilia wale manes Mama zetu wakilia kwa kufukuzwa kazi sasa hiv ndio tunalia kwa kukimbiwa na wahudum na madaktari.
Sio mahospitalini tu wanapata tabu ya kuondoa watu wazoef, hata sehem nyingine mfano bandarini Tpa wiki iliyopita kuna gari ilitumbukia baharini ikiwa na wafanyakazi wanne sem yenye kina cha mji kama mita 14. gari ilikuja kutolewa wameshafariki wote. Lakini kama wale madiver wazoef waliofukuzwa kwa kutokuwa na vyeti wangekuwepo wangezamia na kuokoa wale watu na wasingekufa. Tunao madiver kweli waajiwa wapya na wenye vyeti vizuri lakin uzoef hawana.
Sem nyingi kuna shida ukienda upande wa madereva wote ni mashahd tunaona yanayofanyika barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ni kuwapa hizo barakoa na sanitizer.Mmewawekea mazingira mazuri ya kazi? Vifaa vya kujikinga wanavyo vya kutosheleza?
Hiyo ndiyo sababu kubwa,,, upo sahihi bosshiko sio kigezo, huwezi ukaambiwa uhudumie mgonjwa wa corona huku huna vifaa vya kujikinga na wewe ukajitoa kimaso maso eti uzalendo, huo ni uwendawazimu.
Haya sasa mapya.
Ni wito lakini wanatakiwa kupewa vitendea kazi. Hakuna hata goggles unavaa barakoa na kunawa mikono, mgonjwa akikukoholea usoni umekwisha.Uuguzi Ni wito,,hii ya wauguzi kukimbia wagonjwa ndo nimesikia mwaka huu,haijawahi kutokea popote
ndio, ni ruksa kuwakimbia kama huna PPENawaza tu....... Hivi ikiwa ni corona ni ruksa kuwakimbia waathirika?!!!
Kabisa mkuu,,, kuna walakini Katika hiyo kauli ya waziri!Kiswahili ni kigumu. Sasa kama ni corona wanaruhusiwa kukimbiwa? Hata kama ni corona, mtumishi wa afya hatakiwi kumkimbia mgonjwa.
Waende kavu kavu kwa covid 19 patients?Waziri wa afya mh Ummy Mwalimu amewataka wahudumu wa afya katika hospitali za serikali na binafsi kutowakimbia wagonjwa wa Corona.
Kadhalika waziri Ummy ametoa wito wagonjwa wa Corona na wale waliopona wasinyanyapaliwe kwa namna yoyote ile.
Source: Mtanzania
Wameshonewa mavazi maalumu ya kujikinga!Waende kavu kavu kwa covid 19 patients?
Mh nimeyaona lkn I doubt their effectiveness for the purposeWameshonewa mavazi maalumu ya kujikinga!
johnthebaptist vifaa vifaa vifaatatizo ni vifaa.
Mkuu ni nini unasapoti hapa? Mgomo wa madaktari na manesi watu wafe upate sehemu ya kushagilia?Wakati watumishi wa umma mnaambiwa msiogope, kumbukeni mishahara yenu ni laki 5 !