Ummy Mwalimu: Watoa huduma za afya wasikimbie wagonjwa, sio kila homa kali ni Corona

Kiswahili ni kigumu. Sasa kama ni corona wanaruhusiwa kukimbiwa? Hata kama ni corona, mtumishi wa afya hatakiwi kumkimbia mgonjwa.
Ila anapaswa kurisk Maisha yake (kwa sababu ya uzembe wa Boss wake ambaye hajampatia vifaa husika) ? Hawa nao wana familia na wanatamani kuishi.
 
Ukisikia polisi kumkimbia kibaka na mwanajeshi kujificha akimuona muasi ndo hii. Sasa daktari anamkimbia mgonjwa ili ahudumiwe na muhudumu wa bar!
 
Ningekuwa Muhudumu wa afya nchini tanzania walahi ningeshaacha kazi I swear
 
Kiswahili ni kigumu. Sasa kama ni corona wanaruhusiwa kukimbiwa? Hata kama ni corona, mtumishi wa afya hatakiwi kumkimbia mgonjwa.
Hebu jaribu kuva viatu vya... Umeletewa ana madonda kibao unaambiwa umsafishe mikono mitupu...
 
Hivi kwa akili zako unadhani hata hao madaktari wa nje watakubali kufanya kazi bila protective gears?

Labda kama ni mazombi...
 
Tumewasamehe kwa kutojihusisha hata kidogo katika ugunduzi wa tiba na chanjo as if wamesomea umeme ila hili la kukimbia wagonjwa hatutawasamehe
 
Waziri hatakiwi kuongea hayo aliyoyaongea. Anatakiwa kuongea jinsi Serikali ilivyojiandaa kwa vifaa tiba ili kuwahakikishia usalama wao, watoa tiba. Watoa tiba wana akili, ni binadamu. Hata uwaambie vipi, kama mazingira ya kazi ni hatarishi, hakuna atakayekusikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaweza kumtia kavukavu demu mwenye ngoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…