Ila anapaswa kurisk Maisha yake (kwa sababu ya uzembe wa Boss wake ambaye hajampatia vifaa husika) ? Hawa nao wana familia na wanatamani kuishi.Kiswahili ni kigumu. Sasa kama ni corona wanaruhusiwa kukimbiwa? Hata kama ni corona, mtumishi wa afya hatakiwi kumkimbia mgonjwa.
Uuguzi Ni wito,,hii ya wauguzi kukimbia wagonjwa ndo nimesikia mwaka huu,haijawahi kutokea popote
Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema watoa huduma wa sekta ya afya hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa na badala yake, wanatakiwa kuzingatia Kanuni za Udhibiti wa Maambukizi katika kutoa Huduma (IPC)
Ummy amesema sio kila homa kali au kikohozi ni CoronaVirus hivyo watoa huduma hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa kwasababu kuna magonjwa mengine kama Kisukari, Moyo, HIV na TB.
Pia, Waziri huyo amewataka kuendelea kuwa makini kwa kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo kunawa mikono pale wanapotoa huduma.
Msikilize akizungumza hapa:
View attachment 1428061
Kama wanaogopa kuna wahudumu wa afya ambao wanataka kujitolea
Hebu jaribu kuva viatu vya... Umeletewa ana madonda kibao unaambiwa umsafishe mikono mitupu...Kiswahili ni kigumu. Sasa kama ni corona wanaruhusiwa kukimbiwa? Hata kama ni corona, mtumishi wa afya hatakiwi kumkimbia mgonjwa.
Nimesikiliza maneno ya waziri wa Afya Ummy Mwalimu akiwaasa wahudumu wa Afya kutowakimbia wagonjwa wa Corona tayari. Sijashangazwa na Hali hiyo kwa sababu wabongo kila kitu huwa tunafeki na hapa pia ndipo utapata majibu kwamba hata madegree ya udakitari waliyonayo watu Ni upuuzi mtupu.
Nimepata kuona baadhi ya video zikionyesha wagonjwa wakibeba maiti baada ya wahudumu wa Afya kuikimbia. Lakini pia nimesikiliza audio ya mtu aliyedai kuwa Ni mgonjwa wa Korona aliyelazwa Amana hospital akilalamikia huduma duni kutoka kwa madaktari na kusema kuwa wanawakimbia na kuogopa kuwahudumia.
Kwa Hali inavyoendelea na Kasi ya maambukizi ilivyo Ni vema Serikali ianze kuangalia utaratibu wa kuomba msaada wa madaktari kutoka nje maana Hawa tuliona waliaokariri vitabu tu Kuna siku wote watazikimbia hospital.
Ni Hayo tu.
mimi nilikua mmoja wapo.. Lakini kwa utumbo huwo sinyanyui hata mguu kusogea.. Kama raha sana na waende waoKama wanaogopa kuna wahudumu wa afya ambao wanataka kujitolea
Tumewasamehe kwa kutojihusisha hata kidogo katika ugunduzi wa tiba na chanjo as if wamesomea umeme ila hili la kukimbia wagonjwa hatutawasameheWaziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema watoa huduma wa sekta ya afya hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa na badala yake, wanatakiwa kuzingatia Kanuni za Udhibiti wa Maambukizi katika kutoa Huduma (IPC)
Ummy amesema sio kila homa kali au kikohozi ni CoronaVirus hivyo watoa huduma hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa kwasababu kuna magonjwa mengine kama Kisukari, Moyo, HIV na TB.
Pia, Waziri huyo amewataka kuendelea kuwa makini kwa kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo kunawa mikono pale wanapotoa huduma.
Msikilize akizungumza hapa:
View attachment 1428061
Wewe unaweza kumtia kavukavu demu mwenye ngoma?Waziri wa afya mh Ummy Mwalimu amewataka wahudumu wa afya katika hospitali za serikali na binafsi kutowakimbia wagonjwa wa Corona.
Kadhalika waziri Ummy ametoa wito wagonjwa wa Corona na wale waliopona wasinyanyapaliwe kwa namna yoyote ile.
Source: Mtanzania
Wameshonewa mavazi maalumu ya kujikinga!
Hebu jaribu kuva viatu vya... Umeletewa ana madonda kibao unaambiwa umsafishe mikono mitupu...
Kwani wewe unafikiri mimi nafanya kazi gani?
Sijui na wala sitaki kujua...
Kajifunze kwanza kiswahili ndio uje kukomenti hapa. Nonsense.Basi usilopoke hovyo bila ushahidi. Hiyo kazi unayosema, ndiyo ninayofanya.
Dada ya corona imeachiwa nchi na jiwe lililolala juu ya maweKuna Staff wa Muhimbili jana tumemzika na corona we dada wa Tanga wadanganye tuu