Umo ndani,Condom imepasuka. Ufanye nini?

The Dude

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
1,029
Reaction score
459
Habari zenu.
Wenye kujua naomba msaada/ushauri wenu.
Ulikua na game ya ugenini, ghafla pah uko uwanjani golini kabisa nyavu na kipa,mpira umepasuka.
Na kwa sababu ni game ya ugenini hujui km mwenzako ni salama. Na kuna uwezekano mkubwa ni muathirika. Je kuna namna yoyote unaeza fanya kuzuia /kuyawahi maabukizi?Hasa Ukimwi?
 
Sasa nifanyeje, huu si ni umbea tu? Yaani nimo nyumbani kwangu halafu condomu ipasuka huko nje, mimi inanihusu nini?
 
kuna dawa zinaitwa PEP,zinaweza kukusaidia usipate maambukizi kama utaanza kuzitumia ndani ya masaa 72 baada ya tendo.Wahi kwenye kituo cha afya kwa maelezo zaidi.
 
Ikipasuka unasimama ghafla kama vile gari inapopata pancha na kuchukua spare nyingine na kuendelea na shughuli kikubwa usiwe na mchubuko lakini pia pale tu kitu kilipopasuka inabidi utoe though bado tahadhari inatakiwa kama mdau mmoja alivyosema kuhusu 72 hours
 

Subiri miezi 3 kisha nenda Angaza ukajiridhishe
 
pep ni pre- exposure prophylaxis ni dawa za kujikinga na maambikizo ya vvu na magaonjwa ya zinaa zinapatikana hospitali na zahanati hakikisha unaandikiwa nadaktari mapema iwezekanavyo isizidi masaa 72
 
Je inapasuka na wazungu ndo hao wanakaribia kuja. Je utakuwa na uwezo kusimamisha gemu?
 
Ikitokea hivyo malizia halafu utoke fasta ukaioshe hiyo dushelele na maji mengi!:wave:
 
mpaka ipasuke hicho kifanyio kitakuwa cha kichina au kitakuwa kimeisha muda wake wa kutumika au ni vile vya maeneno fulani ambavyo huwa vinakodishwa ukimaliza kufanyia kinaoshwa halafu kinaanikwa kinakodishiwa mwingine......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…