The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 459
Habari zenu.
Wenye kujua naomba msaada/ushauri wenu.
Ulikua na game ya ugenini, ghafla pah uko uwanjani golini kabisa nyavu na kipa,mpira umepasuka.
Na kwa sababu ni game ya ugenini hujui km mwenzako ni salama. Na kuna uwezekano mkubwa ni muathirika. Je kuna namna yoyote unaeza fanya kuzuia /kuyawahi maabukizi?Hasa Ukimwi?
Wenye kujua naomba msaada/ushauri wenu.
Ulikua na game ya ugenini, ghafla pah uko uwanjani golini kabisa nyavu na kipa,mpira umepasuka.
Na kwa sababu ni game ya ugenini hujui km mwenzako ni salama. Na kuna uwezekano mkubwa ni muathirika. Je kuna namna yoyote unaeza fanya kuzuia /kuyawahi maabukizi?Hasa Ukimwi?