Umoja Party ni chama cha kibaguzi

Umoja Party ni chama cha kibaguzi

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hiki Chama kimeanza na ubaguzi. Hivi Tanzania ya leo au hata hio ya zamani watu wake ni weusi watupu? Na kusema Rangi nyeusi inawakilisha Uafrika wetu hili nalo neno la kibaguzi, tayari inaonyesha hiki Chama kina chuki. Je, tunaijua Afrika na kama tunaijua. Je, Afrika watu wake ni weusi watupu? Hapa katikati ya Tanzania kuna waTanzania weupe kama hujaambiwa huyo au huyu ni Mtanzania huwezi kujua, labda akimwaga kiluga ndio wewe utauliza.

Na waTanzania sio weusi kihivyo, shida zilizoletwa na zinazozidi kutengenezwa na Serikali ya CCM ndio inatufanya tuonekane weusi na sio kosa kuwa mweusi lakini unapoleta sisi Waafrika tayari umetoa harufu ya Ubaguzi. Kwanini usiseme sisi waTanzania? Unaona aibu gani? Huyu Mwenyekiti wao ulimi wake mweusi?

NA huku kusema sisi Waafrika, je anamaanisha Chama chake kina wanachama wasio waTanzania? Labda ni kutoka Rwanda? Maana hiki Chama kinatakiwa kiundwe na waTanzania na sio Waafrika WaTanzania wote ni Waafrika lakini Waafrika wote si waTanzania, mpaka wawe wameomba uraia kwa kufuata sheria zilizowekwa.

Ubaguzi hata hamjapata usajili wa kudumu, rangi nyeusi inawakilisha ubaguzi.
 
Hiki Chama kimeanza na ubaguzi hivi Tanzania ya leo au hata hio ya zamani watu wake ni weusi watupu ? Na kusema Rangi nyeusi inawakilisha uafrika wetu hili nalo neno la kibaguzi,tayari inaonyesha hiki Chama kina chuki,Je tunaijua Afrika na kama tunaijua ,Je Afrika watu wake ni weusi watupu ? Hapa katikati ya Tanzania kuna waTanzania weupe kama hujaambiwa huyo au huyu
Unewahi kusoma maana ya alama zilizopo kwenye bendera ya Taifa? Hata mataifa mengine kama Africa ya Kusini?

Usijenge hoja dhaifu.
Waache watu walete chama. Sisi tusiovikubali vyama vya ccm, chadema na act, tujiunge hicho.
 
Chama kinachoandaliwa kuwaadaa watanzania kuelekea uchaguzi 2025

Kweli Kama tupo serious kwanini tusiboreshe vyama vilivyopo?

Unakimbia Chadema au ccm unaenda Kuanzisha chama kipya?

Ndio Maana nchi hii haiemdelei!!!

Wanapanga kuifuta chadema kuelekea 2025 lakina hawatafanikiwa chadema ipo na itaendelea kuwepo 2025 hatuna watu wajinga wasiojua hiki chama kipya Ni takataka na kimeanzishwa na TISS kusaidia ccm.

Nashauri Chadema, ACT,NCCR na Hashimu Rungwe muungane Kama mna Nia ya dhati kuchukua nchi 2025.
 
Chama hicho ni kweli kinahusishwa na Mkuu wa Chuo anayeendesha mafunzo via Skype? Tetesi zimekuwa nyingi mwenye uhakka atudokeze.
 
Chama kinachoandaliwa kuwaadaa watanzania kuelekea uchaguzi 2025

Kweli Kama tupo serious kwanini tusiboreshe vyama vilivyopo?

Unakimbia Chadema au ccm unaenda Kuanzisha chama kipya?

Ndio Maana nchi hii haiemdelei!!!

Wanapanga kuifuta chadema kuelekea 2025 lakina hawatafanikiwa chadema ipo na itaendelea kuwepo 2025 hatuna watu wajinga wasiojua hiki chama kipya Ni takataka na kimeanzishwa na TISS kusaidia ccm.

Nashauri Chadema, ACT,NCCR na Hashimu Rungwe muungane Kama mna Nia ya dhati kuchukua nchi 2025.
Sasa kama vyama vingine mtu ukitaka uwenyekiti unatengenezewa zengwe kwanini tusianzishe vyama vingine[emoji57]
 
Hiki Chama kimeanza na ubaguzi. Hivi Tanzania ya leo au hata hio ya zamani watu wake ni weusi watupu? Na kusema Rangi nyeusi inawakilisha Uafrika wetu hili nalo neno la kibaguzi, tayari inaonyesha hiki Chama kina chuki. Je, tunaijua Afrika na kama tunaijua. Je, Afrika watu wake ni weusi watupu? Hapa katikati ya Tanzania kuna waTanzania weupe kama hujaambiwa huyo au huyu ni Mtanzania huwezi kujua, labda akimwaga kiluga ndio wewe utauliza.

Na waTanzania sio weusi kihivyo, shida zilizoletwa na zinazozidi kutengenezwa na Serikali ya CCM ndio inatufanya tuonekane weusi na sio kosa kuwa mweusi lakini unapoleta sisi Waafrika tayari umetoa harufu ya Ubaguzi. Kwanini usiseme sisi waTanzania? Unaona aibu gani? Huyu Mwenyekiti wao ulimi wake mweusi?

NA huku kusema sisi Waafrika, je anamaanisha Chama chake kina wanachama wasio waTanzania? Labda ni kutoka Rwanda? Maana hiki Chama kinatakiwa kiundwe na waTanzania na sio Waafrika WaTanzania wote ni Waafrika lakini Waafrika wote si waTanzania, mpaka wawe wameomba uraia kwa kufuata sheria zilizowekwa.

Ubaguzi hata hamjapata usajili wa kudumu, rangi nyeusi inawakilisha ubaguzi.
Mzungu akisema watu weusi(black people) au black nation(nchi ya watu weusi) huwa haiwahusu maji ya kunde?
 
Binafsi mpaka sasa sijaona chama hapo
 
Unewahi kusoma maana ya alama zilizopo kwenye bendera ya Taifa? Hata mataifa mengine kama Africa ya Kusini?

Usijenge hoja dhaifu.
Waache watu walete chama. Sisi tusiovikubali vyama vya ccm, chadema na act, tujiunge hicho.
Unajua usione kuna ujinga na wewe ukaufuata utakuwa huna tofauti nao na wewe ndio utakuwa ni mmoja wao,hivi wewe ulishiriki kuunda ile bendera ya Muungano ? ,Tanganyika inawakilishwa kivipi na Zanzibar nayo kivipi ,tatizo la CCM kujifanika maamuzi binafsi bila ya kushirikisha wananchi katika mambo yanayohusu Taifa ikiwemo Katiba na Tume huru.
 
Mzungu akisema watu weusi(black people) au black nation(nchi ya watu weusi) huwa haiwahusu maji ya kunde?
Huwa haiwahusu,maana hapo ubaguzi kwa wazungu ndio shamba. Tunasema UNITED NATION sio black Nation,na ukidadavua maana ya Black Nation haimaanishi unavyojingika ,wanakusudia waliolala. Wananchi wake wamelala siku WaTz wakiamka CCM hawatathubutu kutuburuza.
 
Huwa haiwahusu,maana hapo ubaguzi kwa wazungu ndio shamba. Tunasema UNITED NATION sio black Nation,na ukidadavua maana ya Black Nation haimaanishi unavyojingika ,wanakusudia waliolala. Wananchi wake wamelala siku WaTz wakiamka CCM hawatathubutu kutuburuza.
Ukiwa maji ya kunde ulaya hubaguliwi kama mweusi?
Mtoto wamwana wa mfalme uinngereza wana-mterm kuwa mweusi na kumbagua.
Walio weka rangi nyeusi kweny bendera nao ni wabaguzi?
 
Huwa haiwahusu,maana hapo ubaguzi kwa wazungu ndio shamba. Tunasema UNITED NATION sio black Nation,na ukidadavua maana ya Black Nation haimaanishi unavyojingika ,wanakusudia waliolala. Wananchi wake wamelala siku WaTz wakiamka CCM hawatathubutu kutuburuza.
Lini wataamka hao wananchi?
Wewe kama umeamka umefanya nini cha tofauti na hao
ungekuwa umeamka kweli usingekuwa unalalamika hum jf tungeona impact yake kwa maandish yako
unaowaita wamelala zaidi ya kulaum ccm jf.
wakina Mandela, Gandhi, Guevara, Fidel Castro sidhan kama walisubiri watu waamke.
 
Chadema tulieni acheni wivu kuanzishwa vya ni kwa mujibu wa sheria msiwalazimishe watu kuwa chadema ndiyo chama pekee cha upinzani, tulieni maana ni nyie ndiyo mnaimba demokrasia sasa iweje chama kipya kisiwe alama ya demokrasia >??? au mnataka demokrasia gani???
 
Back
Top Bottom