Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baada ya kuchanjwa Watanzania wote kwa 99.99% mimi nitakua wa mwisho...
Hii chanjo kila mmoja atachanjwa , na ni lazima 😂 only matter of timeJapo umeandika kishambenga iko siku na wewe utachanjwa, ngoja wakubane kwenye kona yako.
Naona mnaanza kulainika mmoja mmoja.Hii chanjo kila mmoja atachanjwa , na ni lazima [emoji23] only matter of time
Kingpin Jobo Kambana Gwajiboy TayariHii chanjo kila mmoja atachanjwa , na ni lazima 😂 only matter of time
Sisemi mara mbili.Unataka kusemaje mbona unahangaika?
bila shaka wameshapokea chanjo tayari maana wameanzia inner cycle kabisaMama samia, pamoja na jopo lake, aliazimia kuwadunga wanajeshi wetu chanjo za corona zilizoletwa na wazungu.
Hivi majuzi tumeletewa furushi la chanjo milioni moja na kenda, na kesho kutwa hapa tutapokea furushi lingine la chanjo za msaada karibu milioni 17.
Majeshi yetu yakae chonjo kudungwa chanjo za uviko pamoja na makundi mengineyo yaliyoorodheshwa kama ilivyoelekezwa na kamati ya corona.
WAZUNGU wametueleza kwamba chanjo ni salama na zina ubora. Wote tufanye hima tukadungwe chap chap.
Chanjo za bure bwerere! Wewe tu na bega lako.
Majeshi mengine vipiKuna furushi lingine lililetwa kimya kimya?
Nimesikia Kenya watumishi wa umma wawe wamechanjwa at least chanjo 1 ya Covid-19 kabla ya tarehe 30 mwezi huu wanaondoa kufanya kazi ukiwa nyumbani.Hii chanjo kila mmoja atachanjwa , na ni lazima 😂 only matter of time