Umoja wa Afrika watoa wito wa uchaguzi wa amani Tanzania
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ametoa wito wa uchaguzi wa amani, wenye kujumuisha kila mmoja na wa haki nchini Tanzania.
Mwenyekiti ametoa wito kwa washikadau wengine, vyama vya kisiasa na wafuasi wake kushiriki uchaguzi kwa amani na kujizuia kufanya vitendo vyovyote vya ghasia.
Aliendelea kusihi serikali kuhakikisha mazingira mazuri yanayowezesha raia kupiga kura zao kwa njia salama na ya amani.
Bwana Mahamat amekumbuka safari ya kupigiwa mfano ya Tanzania katika utekelezaji wa demokrasia na amani na kutoa wito uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kuwa fursa mpya ya kuimarisha demokrasia na amani nchini humo.
Umoja wa Afrika umepeleka wataalamu wa uchaguzi nchini Tanzania kuanzia Oktoba 22 hadi Novemba 3, 2020 unaoongozwa na mheshimiwa Goodluck Jonathan, aliyekuwa rais wa Nigeria.
Umoja wa Afrika watoa wito wa uchaguzi wa amani Tanzania
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ametoa wito wa uchaguzi wa amani, wenye kujumuisha kila mmoja na wa haki nchini Tanzania.
Mwenyekiti ametoa wito kwa washikadau wengine, vyama vya kisiasa na wafuasi wake kushiriki uchaguzi kwa amani na kujizuia kufanya vitendo vyovyote vya ghasia.
Aliendelea kusihi serikali kuhakikisha mazingira mazuri yanayowezesha raia kupiga kura zao kwa njia salama na ya amani.
Bwana Mahamat amekumbuka safari ya kupigiwa mfano ya Tanzania katika utekelezaji wa demokrasia na amani na kutoa wito uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kuwa fursa mpya ya kuimarisha demokrasia na amani nchini humo.
Umoja wa Afrika umepeleka wataalamu wa uchaguzi nchini Tanzania kuanzia Oktoba 22 hadi Novemba 3, 2020 unaoongozwa na mheshimiwa Goodluck Jonathan, aliyekuwa rais wa Nigeria.
Umoja wa Afrika watoa wito wa uchaguzi wa amani Tanzania
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ametoa wito wa uchaguzi wa amani, wenye kujumuisha kila mmoja na wa haki nchini Tanzania.
Mwenyekiti ametoa wito kwa washikadau wengine, vyama vya kisiasa na wafuasi wake kushiriki uchaguzi kwa amani na kujizuia kufanya vitendo vyovyote vya ghasia.
Aliendelea kusihi serikali kuhakikisha mazingira mazuri yanayowezesha raia kupiga kura zao kwa njia salama na ya amani.
Bwana Mahamat amekumbuka safari ya kupigiwa mfano ya Tanzania katika utekelezaji wa demokrasia na amani na kutoa wito uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kuwa fursa mpya ya kuimarisha demokrasia na amani nchini humo.
Umoja wa Afrika umepeleka wataalamu wa uchaguzi nchini Tanzania kuanzia Oktoba 22 hadi Novemba 3, 2020 unaoongozwa na mheshimiwa Goodluck Jonathan, aliyekuwa rais wa Nigeria.
Umoja wa Afrika watoa wito wa uchaguzi wa amani Tanzania
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ametoa wito wa uchaguzi wa amani, wenye kujumuisha kila mmoja na wa haki nchini Tanzania.
Mwenyekiti ametoa wito kwa washikadau wengine, vyama vya kisiasa na wafuasi wake kushiriki uchaguzi kwa amani na kujizuia kufanya vitendo vyovyote vya ghasia.
Aliendelea kusihi serikali kuhakikisha mazingira mazuri yanayowezesha raia kupiga kura zao kwa njia salama na ya amani.
Bwana Mahamat amekumbuka safari ya kupigiwa mfano ya Tanzania katika utekelezaji wa demokrasia na amani na kutoa wito uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 kuwa fursa mpya ya kuimarisha demokrasia na amani nchini humo.
Umoja wa Afrika umepeleka wataalamu wa uchaguzi nchini Tanzania kuanzia Oktoba 22 hadi Novemba 3, 2020 unaoongozwa na mheshimiwa Goodluck Jonathan, aliyekuwa rais wa Nigeria.