Rais,
M/wa kwanza wa Rais
M/wa pili wa Rais.
Ikitokea Rais kaitwa kuwatumikia malaika nani anapanda kuwa Rais?
1. Kama atapanda No 2 kuwa Rais na No 3 kuwa M/wa kwanza wa Rais.Ni yupi mwenye mamlaka ya kumteua M/wa pili wa Rais.
2. Shughuli za baraza la wawakilishi ni yupi atahusika.
3. Rais amepanda huku hakuwa mwenye sera za chama husika hapo utekelezaji wa ilani ukoje/ itakuwaje.
Tafadhali mwenye uelewa na katiba ya umoja wa kitaifa yuko Zanzibar.
M/wa kwanza wa Rais
M/wa pili wa Rais.
Ikitokea Rais kaitwa kuwatumikia malaika nani anapanda kuwa Rais?
1. Kama atapanda No 2 kuwa Rais na No 3 kuwa M/wa kwanza wa Rais.Ni yupi mwenye mamlaka ya kumteua M/wa pili wa Rais.
2. Shughuli za baraza la wawakilishi ni yupi atahusika.
3. Rais amepanda huku hakuwa mwenye sera za chama husika hapo utekelezaji wa ilani ukoje/ itakuwaje.
Tafadhali mwenye uelewa na katiba ya umoja wa kitaifa yuko Zanzibar.