Umoja wa Ulaya ndio umoja wenye nguvu unaofuata

Umoja wa Ulaya ndio umoja wenye nguvu unaofuata

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kwa wale wanaotamani China au Russia ndiyo atakuwa superpower wanajidanganya.

Huu hapa ndiyo ukweli. The next super power atakuwa UMOJA WA ULAYA yaani European Union. Maandalizi YOTE Yako tayari.

Tayari sarafu ya hiyo empire ipo kazini (euro), Tayari soko la UMOJA huo lipo ( euro zone), Tayari passport Moja ipo tayari, Tayari mamlaka ipo ( Brussels), Tayari bunge lipo, Tayari misaada ya European union ipo, Zimebaki hatuwa chache sana ili hii mamlaka ianze kufanya kazi kikamilifu.

Mwenye macho na aone. Kama wewe unafuatilia sana mambo ya Dunia, utaona kabisa hii zone Ina uchumi imara sana tofauti na china au Russia.

Namaanisha uchumi imara sio mkubwa. Kuna utofauti kati ya uchumi imara na uchumi mkubwa.
 
Kwa wale wanaotamani China au Russia ndiyo atakuwa superpower wanajidanganya.
Huu hapa ndiyo ukweli. The next super power atakuwa UMOJA WA ULAYA yaani European Union. Maandalizi YOTE Yako tayari. Tayari sarafu ya hiyo empire ipo kazini (euro), Tayari soko la UMOJA huo lipo ( euro zone), Tayari passport Moja ipo tayari, Tayari mamlaka ipo ( Brussels), Tayari bunge lipo, Tayari misaada ya European union ipo, Zimebaki hatuwa chache sana ili hii mamlaka ianze kufanya kazi kikamilifu. Mwenye macho na aone. Kama wewe unafuatilia sana mambo ya Dunia, utaona kabisa hii zone Ina uchumi imara sana tofauti na china au Russia. Namaanisha uchumi imara sio mkubwa. Kuna utofauti kati ya uchumi imara na uchumi mkubwa.

Hiki ninin tena
 
Kwa wale wanaotamani China au Russia ndiyo atakuwa superpower wanajidanganya.

Huu hapa ndiyo ukweli. The next super power atakuwa UMOJA WA ULAYA yaani European Union. Maandalizi YOTE Yako tayari.

Tayari sarafu ya hiyo empire ipo kazini (euro), Tayari soko la UMOJA huo lipo ( euro zone), Tayari passport Moja ipo tayari, Tayari mamlaka ipo ( Brussels), Tayari bunge lipo, Tayari misaada ya European union ipo, Zimebaki hatuwa chache sana ili hii mamlaka ianze kufanya kazi kikamilifu.

Mwenye macho na aone. Kama wewe unafuatilia sana mambo ya Dunia, utaona kabisa hii zone Ina uchumi imara sana tofauti na china au Russia.

Namaanisha uchumi imara sio mkubwa. Kuna utofauti kati ya uchumi imara na uchumi mkubwa.
MBONA IPO WAZI?
EU ndiyo Roma ijayo ambayo itachipukia na kumea tena.
Ref vitabu vya Daniel na ufunuo
 
EU itakwenda kuanguka maana hata sarafu yao imeanza kuporomoka huko, Kama suala la kuwa na Rais mmoja lilifeli Uk akajitoa, EU inakwenda kuanguka na tutaisahau
Kama mfuatiliaji wa maandiko huwezi bisha.
Mbona 2008 kilitokea mtikisiko wa uchumi?
Hata euro 2002 nayo ili colapse
 
Kama mfuatiliaji wa maandiko huwezi bisha.
Mbona 2008 kilitokea mtikisiko wa uchumi?
Hata euro 2002 nayo ili colapse

Mkuu ntakuletea mstari unaolezea EU haiwezi ikasimama tena. Kwanza EU wametofautiana kisiasa mpaka sasa wameshindwa kuwa na Rais mmoja wa EU, pili kuna nchi bado hazijajiunga na EU, tatu kujitoa kwa UK ilikua ni pigo kubwa san.
Sarafu yao imeanza kuporomoka kwa thamani.

Tambua uwepo wa EU ni tishio sana kwa US ndomana anafanya kila njama ianguke. Nitakupa huo mstari subir nitulie
 
Na ndie 666 ajaye, ana sifa ya Babuloni ya kale (angalia sura ya jengo bunge la Umoja wa Ulaya kama la babeli). Ana sifa ya Kahaba Jezebel ( Angalia kiongozi wa EU wa Sasa Ursula Von Leyen), Ana sifa ya Kuongea na kulazimisha Makufuru Kama zile dola za Rumi ya kale. Ndio block itakayo tawala dunia baada ya Russia na China kumalizwa na sera zao za vita za sasa. Kwaiyo wao EU wanafurai wanapoona vita duniani kwa sasa, maana ni wakati wao wa kuinuka.
 
U.S.A hawezi kuruhusu mbwa wake wampite .

Ndio maana Vita ya Ukraine inawaathiri zaidi Ulaya.

Russia na China ni wagumu kushinda EU maana si rahisi kutii maelekezo yote ya Washington bila kuzingatia maslahi yao
 
Mkuu ntakuletea mstari unaolezea EU haiwezi ikasimama tena. Kwanza EU wametofautiana kisiasa mpaka sasa wameshindwa kuwa na Rais mmoja wa EU, pili kuna nchi bado hazijajiunga na EU, tatu kujitoa kwa UK ilikua ni pigo kubwa san.
Sarafu yao imeanza kuporomoka kwa thamani.

Tambua uwepo wa EU ni tishio sana kwa US ndomana anafanya kila njama ianguke. Nitakupa huo mstari subir nitulie
Wewe ndiye unafuatilia mambo, mtoa mada anaweka hisia tu.

Ila uhalisia ni kuwa U.S ndiye adui wa kwanza wa ulaya anayepambana usiku na mchana umoja usiwe thabiti au kuwa na makucha ya kiuchumi kumshinda yeye
 
Kwa wale wanaotamani China au Russia ndiyo atakuwa superpower wanajidanganya.

Huu hapa ndiyo ukweli. The next super power atakuwa UMOJA WA ULAYA yaani European Union. Maandalizi YOTE Yako tayari.

Tayari sarafu ya hiyo empire ipo kazini (euro), Tayari soko la UMOJA huo lipo ( euro zone), Tayari passport Moja ipo tayari, Tayari mamlaka ipo ( Brussels), Tayari bunge lipo, Tayari misaada ya European union ipo, Zimebaki hatuwa chache sana ili hii mamlaka ianze kufanya kazi kikamilifu.

Mwenye macho na aone. Kama wewe unafuatilia sana mambo ya Dunia, utaona kabisa hii zone Ina uchumi imara sana tofauti na china au Russia.

Namaanisha uchumi imara sio mkubwa. Kuna utofauti kati ya uchumi imara na uchumi mkubwa.
Vitu vya muungano Huwa inategemea sana utashi wa viongozi wa wakati huo.Kwahiyo ni rahisi sana kuanguka.
 
Na ndie 666 ajaye, ana sifa ya Babuloni ya kale (angalia sura ya jengo bunge la Umoja wa Ulaya kama la babeli). Ana sifa ya Kahaba Jezebel ( Angalia kiongozi wa EU wa Sasa Ursula Von Leyen), Ana sifa ya Kuongea na kulazimisha Makufuru Kama zile dola za Rumi ya kale. Ndio block itakayo tawala dunia baada ya Russia na China kumalizwa na sera zao za vita za sasa. Kwaiyo wao EU wanafurai wanapoona vita duniani kwa sasa, maana ni wakati wao wa kuinuka.
Wakati huo US atakuwa wapi? maana yeye si member wa EU au naye ataangushwa Kama Russia na China Kama unavyo tabiri? Je una ujua unabii wa kondoo mume mwenye pembe mbili aliyeibuka Kutoka katika nchi katika kitabu cha Daniel na ufunuo?
 
U.S.A hawezi kuruhusu mbwa wake wampite .

Ndio maana Vita ya Ukraine inawaathiri zaidi Ulaya.

Russia na China ni wagumu kushinda EU maana si rahisi kutii maelekezo yote ya Washington bila kuzingatia maslahi yao
Nani ni mbwa kati USA na EU?. USA amezaliwa kutoka mchanganyiko wa Spain, Portugal, Italy(Roma), France, UK, Germany na e.t.c. Kwahiyo USA, ni Mtoto Simba wa Simba EU. Soma Ezekiel 38: 13. Inawatambulisha EU kama Simba(Wafanyabiashara wa Tarshish) na Wana - simba ni USA, Canada, South America, New Zealand na Australia. Utawala wa dunia taratibu kwa sasa unatoka USA, China na Rusia, unakwenda kwa EU(Dola Rumi Ya Kale).
 
Back
Top Bottom