Umoja wa Ulaya waipa Tanzania Msaada wa Billion 97.

Umoja wa Ulaya waipa Tanzania Msaada wa Billion 97.

Nimesikia bilioni 90 zimeenda Pemba na bilioni 7(saba)ndiyo zimeenda Tanganyika je,kunaukweli?
 
Sijasoma undani wahabari ,msizingue uchaguzi s/mtaa Sasa olewenu
 
View attachment 3063040


Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa ulaya umeipatia Tanzania Msaada wa Billion 97,Ambazo zitatumika katika maeneo matano ,ambapo miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na uboreshaji wa maendeleo endelevu katika Miji kama vile Kwanza,Tanga na Pemba.

Lakini pesa hizo zitatumika pia katika kuwawezesha wanawake na ushiriki wa wanawake hususani katika masuala ya uongozi.

Huu ni Muendelezo wa kuonyesha Imani kubwa ambayo Nchi ,jumuiya,Taasisi na mashirika mbalimbali yamekuwa nayo kwa nchi yetu tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Sasa tunaendelea kupokea na kupata ushirikiano kutoka kila pembe ya Dunia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Msaada wa Nini una bandari una reli ya sgr,
 
View attachment 3063040


Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa ulaya umeipatia Tanzania Msaada wa Billion 97,Ambazo zitatumika katika maeneo matano ,ambapo miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na uboreshaji wa maendeleo endelevu katika Miji kama vile Kwanza,Tanga na Pemba.

Lakini pesa hizo zitatumika pia katika kuwawezesha wanawake na ushiriki wa wanawake hususani katika masuala ya uongozi.

Huu ni Muendelezo wa kuonyesha Imani kubwa ambayo Nchi ,jumuiya,Taasisi na mashirika mbalimbali yamekuwa nayo kwa nchi yetu tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Sasa tunaendelea kupokea na kupata ushirikiano kutoka kila pembe ya Dunia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Msaada? Mkopo?
Ilani ya mikopo na madeni😆😆
 
View attachment 3063040


Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa ulaya umeipatia Tanzania Msaada wa Billion 97,Ambazo zitatumika katika maeneo matano ,ambapo miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na uboreshaji wa maendeleo endelevu katika Miji kama vile Kwanza,Tanga na Pemba.

Lakini pesa hizo zitatumika pia katika kuwawezesha wanawake na ushiriki wa wanawake hususani katika masuala ya uongozi.

Huu ni Muendelezo wa kuonyesha Imani kubwa ambayo Nchi ,jumuiya,Taasisi na mashirika mbalimbali yamekuwa nayo kwa nchi yetu tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Sasa tunaendelea kupokea na kupata ushirikiano kutoka kila pembe ya Dunia.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kwa ajili ya mradi gani?
 
Hizi ni pungufu ya zile serikali ilio tenga kwa ajili ya magari ya viongozi zilikuwa Bil ngap vile 100+
 
Nazo zitaliwa na Viongozi wataongeza idadi ya mabasi ya mikoani
Serikali ya Rais Samia ni safu na ndio maana inaendelea kuaminika na kuaminiwa na Nchi, taasisi, jumuiya na watu mbalimbali.ndio maana inapewa kipaombele kwa mambo mengi sana ,tofauti na ninyi Ma CHADEMA ambao Mmezoea kutafuna pesa za CHADEMA mpaka chama kimebaki mifupa mitupu
 
Back
Top Bottom