Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada wa Nini una bandari una reli ya sgr,View attachment 3063040
Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa ulaya umeipatia Tanzania Msaada wa Billion 97,Ambazo zitatumika katika maeneo matano ,ambapo miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na uboreshaji wa maendeleo endelevu katika Miji kama vile Kwanza,Tanga na Pemba.
Lakini pesa hizo zitatumika pia katika kuwawezesha wanawake na ushiriki wa wanawake hususani katika masuala ya uongozi.
Huu ni Muendelezo wa kuonyesha Imani kubwa ambayo Nchi ,jumuiya,Taasisi na mashirika mbalimbali yamekuwa nayo kwa nchi yetu tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Sasa tunaendelea kupokea na kupata ushirikiano kutoka kila pembe ya Dunia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kweli lakini muda ukifika gen Z watazichoma moto hataaminiNazo zitaliwa na Viongozi wataongeza idadi ya mabasi ya mikoani
Bara 47,bilions na Visiwani tumepeleka 50 billions.Nimesikia bilioni 90 zimeenda Pemba na bilioni 7(saba)ndiyo zimeenda Tanganyika je,kunaukweli?
Msaada? Mkopo?View attachment 3063040
Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa ulaya umeipatia Tanzania Msaada wa Billion 97,Ambazo zitatumika katika maeneo matano ,ambapo miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na uboreshaji wa maendeleo endelevu katika Miji kama vile Kwanza,Tanga na Pemba.
Lakini pesa hizo zitatumika pia katika kuwawezesha wanawake na ushiriki wa wanawake hususani katika masuala ya uongozi.
Huu ni Muendelezo wa kuonyesha Imani kubwa ambayo Nchi ,jumuiya,Taasisi na mashirika mbalimbali yamekuwa nayo kwa nchi yetu tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Sasa tunaendelea kupokea na kupata ushirikiano kutoka kila pembe ya Dunia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hahah wakopaji wanapenda sherehe na starehe balaa.Zitaishia kwenye mashangingi
Hivi kwanini hatushituki miaka nenda miaka rudi tunasaidiwa na hatusogei?
Ni kwa ajili ya mradi gani?View attachment 3063040
Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa ulaya umeipatia Tanzania Msaada wa Billion 97,Ambazo zitatumika katika maeneo matano ,ambapo miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na uboreshaji wa maendeleo endelevu katika Miji kama vile Kwanza,Tanga na Pemba.
Lakini pesa hizo zitatumika pia katika kuwawezesha wanawake na ushiriki wa wanawake hususani katika masuala ya uongozi.
Huu ni Muendelezo wa kuonyesha Imani kubwa ambayo Nchi ,jumuiya,Taasisi na mashirika mbalimbali yamekuwa nayo kwa nchi yetu tangia kuingia madarakani kwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Sasa tunaendelea kupokea na kupata ushirikiano kutoka kila pembe ya Dunia.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watanunulia Tshirt na kofiaHahah wakopaji wanapenda sherehe na starehe balaa.
BaaasiWatanunulia Tshirt na kofia
Serikali ya Rais Samia ni safu na ndio maana inaendelea kuaminika na kuaminiwa na Nchi, taasisi, jumuiya na watu mbalimbali.ndio maana inapewa kipaombele kwa mambo mengi sana ,tofauti na ninyi Ma CHADEMA ambao Mmezoea kutafuna pesa za CHADEMA mpaka chama kimebaki mifupa mitupuNazo zitaliwa na Viongozi wataongeza idadi ya mabasi ya mikoani