Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 71
Kulikuwa na jitahada za kuwepo umoja wa vyama vya upinzani Tanzania, wakati fulani niliona Chadema, CUF, NCCR-mageuzi na TLP wakisema wameunda umoja wa vyama vinne?
Swali umoja huu bado upo? na nani alikuwa mwanzilishi na malengo yao yalikuwa nini?
Kipi kimeshindakana au kimekwamisha muungano huu je muungano utakuwepo huko tunakoenda? if yes when?
Swali umoja huu bado upo? na nani alikuwa mwanzilishi na malengo yao yalikuwa nini?
Kipi kimeshindakana au kimekwamisha muungano huu je muungano utakuwepo huko tunakoenda? if yes when?