the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Umoja wa Vijana Wasio na Ajira Tanzania (UYAM) hii leo umesema ukosefu wa ajira kwa vijana umepelekea baadhi yao kujiingiza katika ubashiri huku wengine wakiuza miili yao kama njia ya kujipatia kipato.
Lawrent Kayaya, Mwakilishi wa UYAM akizungumzia hilo
Lawrent Kayaya, Mwakilishi wa UYAM akizungumzia hilo